Domowazi JF-Expert Member Feb 1, 2012 203 27 Feb 6, 2012 #1 Hivi ndugu wananchi wenzangu enbu nisaidien nani anatetesi zozote kuhusu atakaesimama kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM mwaka 2015?
Hivi ndugu wananchi wenzangu enbu nisaidien nani anatetesi zozote kuhusu atakaesimama kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM mwaka 2015?
chuki JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,715 533 Feb 6, 2012 #3 Domowazi said: Hivi ndugu wananchi wenzangu enbu nisaidien nani anatetesi zozote kuhusu atakaesimama kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM mwaka 2015? Click to expand... Chapuo wanapewa watu wawili. 1.WASIRA-hana kashfa na ni MZALENDO, uwezo kusimamia serikali. 2.SITTA-anapinga ufisadi na uwezo wa kukemea.
Domowazi said: Hivi ndugu wananchi wenzangu enbu nisaidien nani anatetesi zozote kuhusu atakaesimama kugombea uraisi kwa tiketi ya CCM mwaka 2015? Click to expand... Chapuo wanapewa watu wawili. 1.WASIRA-hana kashfa na ni MZALENDO, uwezo kusimamia serikali. 2.SITTA-anapinga ufisadi na uwezo wa kukemea.
Domowazi JF-Expert Member Feb 1, 2012 203 27 Feb 6, 2012 Thread starter #5 Duu huyo prince Ridhiwan hata wana CCM cjui kama watamkubali..!