aminangalo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 974
- 190
CCM Arusha Leo wahitimisha ziara ya kutembelea kata zote za Arusha Mjini kukagua ilani ya uchaguzi ambapo pia wamefanya mikutano ya hadhara
Mikutano hiyo iliyoongozwa na MWENYEKITI Wa CCM wilaya DK SOILELI imekuwa namwitikio mkubwa haswa baada ya kupokea wanachama wengi Wa CHADEMA Kama Kata ya UNGA LTD MWENYEKITI na katibu Wa CHADEMA na kurudi CCM
Leo katika kata ya Ngarenaro mwenyekiti Wa vijana Wa CCM wilaya ya Arusha Mjini amemwinya LEMA kuacha kuwaongopea wajumbe Wa bunge LA katiba kuwa msimamo Wa wana Arusha ni serikali mbili na siyo tatu tatu ni za kwake yeye siyo za wanaarusha
Yeyote atakaye dhubutu kuichezea amani yetu watanzania Uvccm tutamshughulikia kikamilifu
Alimalizia kwa kuwaomba wana Arusha kuikataa CHADEMA maana wameharibu Mjini na kuwafanya watalii wasije Arusha uchumi kuporomoka kisa maandamano na mabomu ya CHADEMA
Mkataeni lema na chadema yake alimalizia mwenyekit huyo
Mikutano hiyo iliyoongozwa na MWENYEKITI Wa CCM wilaya DK SOILELI imekuwa namwitikio mkubwa haswa baada ya kupokea wanachama wengi Wa CHADEMA Kama Kata ya UNGA LTD MWENYEKITI na katibu Wa CHADEMA na kurudi CCM
Leo katika kata ya Ngarenaro mwenyekiti Wa vijana Wa CCM wilaya ya Arusha Mjini amemwinya LEMA kuacha kuwaongopea wajumbe Wa bunge LA katiba kuwa msimamo Wa wana Arusha ni serikali mbili na siyo tatu tatu ni za kwake yeye siyo za wanaarusha
Yeyote atakaye dhubutu kuichezea amani yetu watanzania Uvccm tutamshughulikia kikamilifu
Alimalizia kwa kuwaomba wana Arusha kuikataa CHADEMA maana wameharibu Mjini na kuwafanya watalii wasije Arusha uchumi kuporomoka kisa maandamano na mabomu ya CHADEMA
Mkataeni lema na chadema yake alimalizia mwenyekit huyo