Sijui atakwenda tena Mwanahalisi kushitaki ha ha haa hizo picha mkuu zitengenezee siredi yake.MOD wamemvumilia MS imeshindikana wamempa BAN naye leo. Ngoja ID zake Lukuki zianze....! Kamanda nina picha za bendera za CDM vijijini kabisa, ukisema CCM wanakuona mchawi wewe nitaziapload baadaye. CDM yapata nguvu za ajabu.
Leo majira ya saa kumi na nusu kumetokea vurugu hapa CCM mkoani Arusha, baada ya vijana kumtoa Mary Shitanda kwenye mkutano wekiimba hatukutaki ondoka zako.
Baada ya kuona watu wanazidi kumzonga alichukuliwa na kuingizwa ndani na askari kanzu waliofika hapo na kufunga milango. Kuna wandishi wa star tv na Channel ten walibahatika kuingia ndani.
Sijajua hasa chanzo ni nini.
Lema Ndiye kaleta habari hii? Lema Yuko Tarime anashughulikia mauaji ya serikali kwa raia wake pale Nyamongo kama waziri kivuli wa mambo ya ndani maana waziri husika yuko Dar anashughulikia uvuaji wa gamba.
Chatanda uliyemwona Dar ni gamba lake sio mwenyewe
Maandamano ya nini Arusha wakati mnajimaliza wenyewe.Hivi lini Chadema wataitisha tena Maandamano Arusha ya kumtoa Meya?
Kwa hiyo unapingana na Tamko la Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kuhusu hali ya Taifa? Maandamano mengine Arusha ni moja ya agenda, kama Maandamano hamna tena mmefanya vizuriMaandamano ya nini Arusha wakati mnajimaliza wenyewe.
Mazungumzo yapi mkuu wakati Bungeni tulimskia Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisema hamna mazungunzo yoyote Arusha kuhusu MEYA, uchaguzi ulikuwa halali, labda utuasaidie upande wa Chadema wanawakilishwa na nani na upande wa CCM wanawakilishwa na nani kwenye hayo mazungumzokabla ya siku zilizotolewa na kamati kuu ya cdm serkali ya ccm ilianza mazungumzo na cdm hivyo tuna sikilizia...vipi unaham nayo kama mimi?
Sababu ya Mary Chitanda kukataliwa na UVCCM mkoa wa Arusha ni mpango wake wa muda mrefu wa kumtimua na kumpokonya kadi ya CCM mjumbe wa UVCCM Bwana Gumbo sijui kama jina nimelipatia kwa kosa la kumkashifu E Lowasa na Rostam Aziz kwamba ni mafisadi ndani ya vikao vya UVCCM taifa.
Ha ha ha!! hiyo kaliwanapenda sana kupigana,kwanza huyo mary tunasikia anapiga bwanake
Kigogo hapo kwenye Red Umeniacha Hoi Nimecheka Sana Ni Arusha Sio Alusha oikumbe alusha kuna wachaga wengi hivo