fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,821
- 2,894
Ubongo utakapofunguka ukatambua haki zako, utachagua chama utakachohisi bora.Kwa njia gani au kutumia chama kipi?
Ubongo utakapofunguka ukatambua haki zako, utachagua chama utakachohisi bora.Kwa njia gani au kutumia chama kipi?
Mapambano sio chama, kutumia chama ni unafiki mkubwa.Kwa njia gani au kutumia chama kipi?
Unfortunately hakuna chama chenye uwezo wa kushika dola zaidi ya ccm.Ubongo utakapofunguka ukatambua haki zako, utachagua chama utakachohisi bora.
Halafu alitawala nani?Mapambano sio chama, kutumia chama ni unafiki mkubwa.
Iv hamkumbuki ya misri (2011) au kule Tunisia (2011)?
Umenena mkuu, huo ndio ukweli wenyewe. CCM ita tawala milele kutokana na aina ya watanzania wa namna hiyo uliotajaNapingana na imani hii..
Adui namba moja wa taifa letu ni watu waoga, wanafiki na wenye kujikombakomba machoni pa wenye mamlaka!
Wote waliohusika na uovu wanajitenga na ccm na kuingia chadema sijui huyo adui ni mtu anayetumia madalaka vibaya ama chama. Unaweza kupewa mamlaka na ukatumia vibaya, je hapo ni chama ama mtu binafsi. Leo nyalandu ndio huyo anaelekea chadema hamjiulizi kwa nini watu waliolitia hasara wanakiambia ccm?hilo linajulikana wao ndio waliuza loliondo Leo wanatafuta kiki,wameingia mikataba ya hovyo na barick kimya kimya Leo kelele utadhani wamevumbua kitu kumbe hata mtoto hawezi kuingia mikataba ya kutoa mchanga Nchini na kupeleka nje...
Jamaa yuleeeee, wa chama kileeeee( Muslim brotherhood)Halafu alitawala nani?
Kwahiyo si ni lazima kitawale? Swali ni chama gani kina uwezo wa kutawala zaidi ya ccm?Jamaa yuleeeee, wa chama kileeeee( Muslim brotherhood)
Hoja yangu ni kwamba, suala si uchadema wala uccm kwamba vyama hivyo ndiyo tegemeo letu kwenye ukombozi wa taifa hili. Suala ni umoja wa kitaifa usio na mgawanyo wa kivyama.
Kwa TZ hakipo. Hii inchi ibinafsishwe tu.Kwahiyo si ni lazima kitawale? Swali ni chama gani kina uwezo wa kutawala zaidi ya ccm?
Uko sahihi.Kwa TZ hakipo. Hii inchi ibinafsishwe tu.
Hakuna cha chama maandamano nchi nzima kama ya Misri..Mr Morsi akachomoka Ikulu...Kwa njia gani au kutumia chama kipi?