kila siku kusema chama ni kama cha China je nmaweza kufanya haya kwa mtu wa CCM?
Lakini hii serikali inaweka waislamu kwenye kambi maana wanataka kila mtu awa abudu wenyewe yaani Chama. Idadi ya watoto unapangiwa na serikali! Jiulize ukizidisha inakuwaje?
Kwenye mitandao kumekuwepo na watu wanadandia kujilinganisha na hawa makatili. Namkumbuka Polepole alikuwa anataka tuwe kama hawa bila kusema yote
Lakini hii serikali inaweka waislamu kwenye kambi maana wanataka kila mtu awa abudu wenyewe yaani Chama. Idadi ya watoto unapangiwa na serikali! Jiulize ukizidisha inakuwaje?
Kwenye mitandao kumekuwepo na watu wanadandia kujilinganisha na hawa makatili. Namkumbuka Polepole alikuwa anataka tuwe kama hawa bila kusema yote