Viongozi na makada wa CCM hapa Sengerema mkoani Mwanza wamekata tamaa ya kushinda udiwani kata ya Nyampulukano na Lugata!. Kwa hapa mjini Sengerema kila mwana CCM anayeonekana kavaa kijani ama njano anapigiwa miluzi mwanzo hadi mwisho. Na ili kuonesha kwamba watu wamechoshwa na CCM, hata gari la matangazo kila linakoelekea miluzi ya kufa mtu!. Alama za 'V' na Peeeeeeeeeeopleeeeeeeeeeeeeessssssssss za kumwaga.
CHADEMA kata ya Nyampulukano wanawakilishwa na mgombea wao, Zakaria Emmanuel Mnwaniz. Kule kata ya Lugata CHADEMA kasimama mtu mzima na msomi, Injinia Dk. Adirian TIZEBA.
CCM wao wanawakilishwa na Charles Gabriel Lugabandana ambaye anatuhumiwa kwa ufisadi wa mamilioni ya fedha ndani ya halmashauri ya Sengerema. Alifukuzwa kazi kwenye halmashauri hiyo kwa tuhuma za ufisadi.
TLP na NCCR-Mageuzi nao wamesimamisha wagombea ambao kimsingi siwajui kabisaaaaaa.
CHADEMA kata ya Nyampulukano wanawakilishwa na mgombea wao, Zakaria Emmanuel Mnwaniz. Kule kata ya Lugata CHADEMA kasimama mtu mzima na msomi, Injinia Dk. Adirian TIZEBA.
CCM wao wanawakilishwa na Charles Gabriel Lugabandana ambaye anatuhumiwa kwa ufisadi wa mamilioni ya fedha ndani ya halmashauri ya Sengerema. Alifukuzwa kazi kwenye halmashauri hiyo kwa tuhuma za ufisadi.
TLP na NCCR-Mageuzi nao wamesimamisha wagombea ambao kimsingi siwajui kabisaaaaaa.