Hiki kiwanda chenu cha BAVICHA cha kuchonga uwongo, majungu na ulaghai kilichoko katika mtaa wa ufipa hakiwezi kuwasaidia katika mbio zenu za kisiasa.
Mnajitahidi kuchonga uwongo lakini mnajikuta mnapigwa kofi la ukweli kama andiko lako linavyojibainisha.
Kuonyesha kuwa hufahamu hata unachokiongea ni pale unapoandika kuwa CCM ina Kaimu Mwenyekiti. Katiba ya CCM 2012 haina cheo cha kiongozi anayeitwa Kaimu Mwenyekiti. CCM siyo CHADEMA, kwa akili zenu fupi mnadhani mpangilio wa viongozi wa CCM ni sawa na CHADEMA kwa vile CHADEMA kwa kiwango kikubwa wali copy & Paste katiba ya CCM.
Mwenyekiti wa CCM taifa ana Makamu wawili wa Mwenyekiti wa CCM.
Mwenyekiti wa kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM ni Mwenyekiti wa CCM taifa na kama hayupo basi kikao kitaongozwa na mmoja wa Makamu wa Mwenyekiti kama Katiba inavyosema katika Ibara ya 108 (3),
Hata hicho kikao uanchokisema hufahamu hata kimefanyika lini zaidi ya kusoma kwenye media na kuja hapa kujenga hoja za kilaghai ili uweze kuaminisha watu kama wewe uko karibu na utendaji wa CCM wakati hufahamu hata milango ya ofisi za chama achilia mbali kufahamu utendaji wake.
Wewe niwa kupuuzwa tu na story zako hizi za kutunga kila thread unazoleta hapa kila mara ili uwaokote wenye fikra fupi.
QUOTE]
MwanaDiwani,ukimaliza honeymoon uje huku Dodoma tuwahabarishe watanzania kinachoendelea.Tusimame kwenye ukweli.
Mzee Tupatupa