AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,426
- 1,402
ndugu umechanganya madawa ,ni chuo cha nit bwana.kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha cbe kampasi ya dsm kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.
Kutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.
Kuna kitu hakija kaa awa. CBE ni College of Business Education na sidhani Urubani unawekwa kundi hilo. Nimesoma NIT wana anzisha hiyo programu na utaona u-pilot unakwenda sawa na mandate ya NIT. Hivyo mkuu hebu check tena na source yako. Sioni NACTE wakipitisha programu kam hiyo.
Mkuu haya yameanza lini? lol!!CBE ambao wanaume wanajichubua?
Good news hatuna haha ya kwenda Ulaya na South. Mambo yote hapahapaKutokana na uhitaji mkubwa wa marubani katika soko la ajira chuo cha CBE kampasi ya DSM kimenuia kuanzisha kozi ya kufunza Marubani humu humu nchini ili kuzalisha wataalamu wengi wazawa kwa ajili ya soko la ndani na la kimataifa na kuondoa ombwe la kukosekana kwa marubani wazawa hivyo makampuni ya ndege ya humu nchini kuajiri wageni kwa gharama kubwa.
MmhPale CBE coarse za mapenzi zitabamba tena vijana watatoka with distinction
Acha kudanganya watu chuo cha cbe Tawi la mwanza wanatoa bachelor hiziCampus ya mwanza degree imewashinda kuanzisha mwaka wa sita huu sasa tangu ilipoanzishwa kisa hawana majengo hata ya kukod yamewashinda wamekalia vi certificate & diploma muda wote ndo useme eti waanzishe koz za uruban mbona majanga! imekushinda biashara ya rejareja ya jumla utaiweza???
Kimesha toa marubani wangapi tokea 2014 mpaka 2021?Fiksi zipi tena ndugu? kipi cha ajabu hapo URUBANI au u-CBE? ulitaka chuo chenu cha MAGOGONI ndo kiwe cha kwanza kutoa kozi ya URUBANI? safari hii CHUO PENDWA CBE ndo kimeshika hatamu.
Wengi tuKimesha toa marubani wangapi tokea 2014 mpaka 2021?