Cbe dodoma tunataka sasa mabadiliko

MwanaCBE

JF-Expert Member
Sep 23, 2009
1,771
804
Imekuwa muda mrefu sasa katika chuo hiki cha biashara Dodoma (CBE) kuendeshwa kienyeji mno kiasi kwamba chuo kuonekana kama hakina uongozi.
Mambo yanafanyika hovyohovyo mno katika chuo hiki kikongwe. Vice principal (Kiputiputi) amuzeeka akili, hana fikra mpya za kukisaidia chuo hiki kiweze kuendana na mabadiliko ya sasa ya kiulimwengu katika utoaji wa elimu.
Serikali nayo imekiterekeza kabisa chuo hiki. Wizara ya viwanda na biashara ni kama haitambui ina chuo ambacho kiko chini yake kinachoitwa CBE.
TUNATAKA MABADILIKO.
 

Attachments

  • cbe_text.gif
    cbe_text.gif
    5.7 KB · Views: 63
yaani hata jina la chuo unachosoma hulijui?kinaitwa chuo cha elimu ya biashara[college of business educutation na sio chuo cha biashara,jinsi ulivyoandika kwa jazba inaonekana umeshikwa mwaka au walau una vi sapu vitatu,
acha jazba leta hija za msingi au zipeleke wizara ya viwanda na biashara waliomwajiri huyo kiputiputi
 
yaani hata jina la chuo unachosoma hulijui?kinaitwa chuo cha elimu ya biashara[college of business educutation na sio chuo cha biashara,jinsi ulivyoandika kwa jazba inaonekana umeshikwa mwaka au walau una vi sapu vitatu,
acha jazba leta hija za msingi au zipeleke wizara ya viwanda na biashara waliomwajiri huyo kiputiputi


Acha ushamba cha maana ujumbe unaeleweka na mada iko clear mbona wewe umekosea kuandika education?

Huyu Vice Principle ndio nani kwa jina?

Ukweli ni kwamba Chuo hiki kimekuwa na mambo mengi substandard na graduates wake wakienda hata baadhi ya vyuo kama UDSM hawatambuliki. Kuna kashfa nyingi za kununua mitihani, kupew maksi kwa hela au ngono nk. Wamepata Mkuu wa chuo mpya na msomi Dr Lugoye huenda akaleta CHANGES.
 
Back
Top Bottom