Caustic soda inahitajika

Caustic soda inahitajika

man B'

Member
Joined
Aug 17, 2014
Posts
83
Reaction score
106
Ndugu wana wanajukwaa habari yenu.
mimi mjasliliamali nahitaji CAUSTIC SODA kwa bei ya jumla, ya utengenezaji wa sabuni.
Wauzaji wa jumla anichek 0758327174 chap ziite.
 
Ndugu wana wanajukwaa habari yenu.
mimi mjasliliamali nahitaji CAUSTIC SODA kwa bei ya jumla, ya utengenezaji wa sabuni.
Wauzaji wa jumla anichek 0758327174 chap ziite.
Hujataja upo pande gani za nchi ili watu wasisumbuke kukupigia kumbe mpo pande tofauti za nchi kwa zaidi ya 1500km
 
Mimi nipo tabora
Okay, wakati unasubiri wadau kuja kwenye uziapo,nikushauri kama una mtu Kigoma akusaidie kucheck kwa watengenezaji sabuni wa kule maana Kigoma nadhani ndo mabingwa wa kutengeneza sabuni Tz kwa mazingira ya jamii na uzuri ni jirani na Tabora hata kama watakuwa wanatoa Burundi (Wanaweza wakampa chimbo huwa wananunulia wapi, ningekuwepo Mwanza ningecheck maana I guess hata Kigoma wanachukulia Mwanza ila sina uhakika)
 
Okay, wakati unasubiri wadau kuja kwenye uziapo,nikushauri kama una mtu Kigoma akusaidie kucheck kwa watengenezaji sabuni wa kule maana Kigoma nadhani ndo mabingwa wa kutengeneza sabuni Tz kwa mazingira ya jamii na uzuri ni jirani na Tabora hata kama watakuwa wanatoa Burundi (Wanaweza wakampa chimbo huwa wananunulia wapi, ningekuwepo Mwanza ningecheck maana I guess hata Kigoma wanachukulia Mwanza ila sina uhakika)
Shukran sana ndg kwa haya maelekezo barikiwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom