Catalonia vs majimbo ya Marekani

Catalonia vs majimbo ya Marekani

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Muda si mwingi yanayotokea Spain kwa jimbo la Catalonia kutaka Uhuru wao yatatokea kwenye majimbo ya Marekani pia kama watu kama Trump wataendelea kuitawala Marekani.
 
kyna tofauti kubwa kwa Marekani na Hispania..utamaduni,uwezo na lugha umechangia Hispania
Sio majimbo yote Marekani yanazungumza kiingereza na utamaduni , sheria na utaratibu unaofanana. Majimbo mengine yanaongea Spanish
 
Sio majimbo yote Marekani yanazungumza kiingereza na utamaduni , sheria na utaratibu unaofanana. Majimbo mengine yanaongea Spanish
hiyo ni lugha ya pili...
hakuna jimbo lenye lugha ya kwanza tofauti na kiingereza chao
 
Muda si mwingi yanayotokea Spain kwa jimbo la Catalonia kutaka Uhuru wao yatatokea kwenye majimbo ya Marekani pia kama watu kama Trump wataendelea kuitawala Marekani.
Huu unabii wako ni vigumu sana kuuona ukitimia. Majimbo yanayounda US ni tofauti kabisa na catolonia. Majimbo ya US ni state within a state huwezi kulinganisha na jimbo la catolonia ndani ya Spain

Hata hivyo unadhani hilo wakubwa hawajaliona? Unafikiri hakuna kitu walijifunza kutoka kwa USSR? Kuiona au kusubiri kuona marekani imegawanyika ni kazi ngumu sana japo inaweza kutokea ila sio kwa kawa staili hii ya catolonia.

Siku akitokea world's super power mwingine ndo US atagawanyika na kufa kabisa. Tusichojua au tunakijua lakini hatukipendi ni kuwa US ndo Rumi wa zama zetu. US hakuibuka kwa dharura kama Tanzania, watu timamu wameitengeneza US kwa karne nyingi wakiwa na malengo yao. US ni tool ya watu ndugu yangu. US ni fimbo mkononi mwa mtawala feki wa dunia
 
Huu unabii wako ni vigumu sana kuuona ukitimia. Majimbo yanayounda US ni tofauti kabisa na catolonia. Majimbo ya US ni state within a state huwezi kulinganisha na jimbo la catolonia ndani ya Spain

Hata hivyo unadhani hilo wakubwa hawajaliona? Unafikiri hakuna kitu walijifunza kutoka kwa USSR? Kuiona au kusubiri kuona marekani imegawanyika ni kazi ngumu sana japo inaweza kutokea ila sio kwa kawa staili hii ya catolonia.

Siku akitokea world's super power mwingine ndo US atagawanyika na kufa kabisa. Tusichojua au tunakijua lakini hatukipendi ni kuwa US ndo Rumi wa zama zetu. US hakuibuka kwa dharura kama Tanzania, watu timamu wameitengeneza US kwa karne nyingi wakiwa na malengo yao. US ni tool ya watu ndugu yangu. US ni fimbo mkononi mwa mtawala feki wa dunia
Hatu Rumi expire ya Ottoman ilikuwa imara kuliko US. Weka akiba ya maneno ili uje kuyatumie huko mbeleni.
 
It is a matter of time,ipo siku Marekani itagawanyika,nani alijua marekani yatajatokea maandamano barabarani ya kumgrnga raisi wao? hii imetokea utadhani ni zile nchi zilizodhaniwa kwamba hayina ukomavu wa kidemokrasia,kwa hiyo unapoambiwa Marekani itatengana majimbo yake usibishe,wao si malaika,mpaka sasa kuna vikundi vya chini kwa chini vinapinga muungano huo wa usa.hatuwezi jua vikundi hivyo vitakua kwa kasi gani au itikadi yao zitakubaliwa na wananchi waliowengi kwa muda gani ndiyo mana nasema it is a mater of time!.
 
It is a matter of time,ipo siku Marekani itagawanyika,nani alijua marekani yatajatokea maandamano barabarani ya kumgrnga raisi wao? hii imetokea utadhani ni zile nchi zilizodhaniwa kwamba hayina ukomavu wa kidemokrasia,kwa hiyo unapoambiwa Marekani itatengana majimbo yake usibishe,wao si malaika,mpaka sasa kuna vikundi vya chini kwa chini vinapinga muungano huo wa usa.hatuwezi jua vikundi hivyo vitakua kwa kasi gani au itikadi yao zitakubaliwa na wananchi waliowengi kwa muda gani ndiyo mana nasema it is a mater of time!.
Uko sahihi. Kiuhalisia wa Marekani ni watu ambao hawako huru, hawana amani hata kidogo, wengi wao wamechanganyikiwa kiasi cha kuweza kufanya lolote na chochote. Ni kama watu waliotekwa utumwani na matajiri. Ndio maana kuna watalii wengi sana kutoka taifa hili ili kujaribu kwenda kupoza ubongo. Watu ni masikini sana kule kupita kiasi. Mabepari ndio wanaoamua kila kitu na ndio maana Obama aliweza kuitawala Marekani kwakua alioneka a kama MTU ambaye atapunguza makali ya ubepari.
 
Mtoa mada unaandika tu kutoka sijui kwenye kijiwe gani bila kusoma na kuelewa historia ya Catalonia na historia ya Marekani.

Huelewi kwamba ni rahisi zaidi kwa Zanzibar kujitoa kwenye muungano huu wa sasa kuliko jimbo lolote la Marekani kujiondoa toka kwenye shirikisho.

Tafadhali soma kwanza kabla ya kukimbilia kwenye mitandao kutoa unabii feki kama huu uliyotoa.
 
Uko sahihi. Kiuhalisia wa Marekani ni watu ambao hawako huru, hawana amani hata kidogo, wengi wao wamechanganyikiwa kiasi cha kuweza kufanya lolote na chochote. Ni kama watu waliotekwa utumwani na matajiri. Ndio maana kuna watalii wengi sana kutoka taifa hili ili kujaribu kwenda kupoza ubongo. Watu ni masikini sana kule kupita kiasi. Mabepari ndio wanaoamua kila kitu na ndio maana Obama aliweza kuitawala Marekani kwakua alioneka a kama MTU ambaye atapunguza makali ya ubepari.
Yani wewe hakuna unachoelewa kabisa nafuu tu ukae kimya kwani inaonekana Marekani unaifahamu kupitia kwenye vijiwe tu.
 
Wewe google uone maoni ya majimbo ambayo hayapendi marais wa republican kama trump wanawaza kujitenga. Kwenye kero kubwa ni kwamba RAIA wa majimbo hayo kura yao haina uzito kama vijimbo vidogo kwa sababu ya mtindo wa electoral college. Ingawa waasisi wa electoral college walikuwa na nia njema ya kulinda majimbo madogo lakini kwa sasa majimbo kama California wanajiona wanaburuzwa na vijimbo maskini. Kumbuka California peke yake ikijitenga uchumi wake inakuwa nchi ya sita/Tisa? kiuchumi duniani. Soma google makala ya nchi kumi zilizo hatarini kusambaratika vipande Spain na USA zimo katika hizo. Kwa hiyo hakuna nchi iliyo salama katika dunia ya utandawazi. Tena Marekani ni very vulnerable sema wao watatengana bila kupigana kama ile karne za nyuma. Maana MTU unaweza akaongoza kama Hilary kwa kura lakini (kura Milioni 2) halafu uraias anachukua Trump , kisa electoral college . Tangu kwa Algore alivoshindwa na Bush junior na hii ya Clinton Majimbo makubwa yanataka ifutwe ibaki MTU mmoja kura moja. Wanapanga kupeleke mswada huo bungeni na kwa chinichini wakishindwa watadai kujitenga
.Hiyo ndiyo hali halisi, lakini ni taifa gani lilidumu milele .Neno LA MUNGU ndio litasimama milele lakini tawala kwa maana ya mipaka ni kitu cha kawaida kihistoria
. USIDANGANYIKE NA MISULI YA DOLA LOLOTE KUNA MWISHO WAKE MUDA WOTE.
 
Sio majimbo yote Marekani yanazungumza kiingereza na utamaduni , sheria na utaratibu unaofanana. Majimbo mengine yanaongea Spanish
Acha uongo wewe! Jimbo gani Marekani hawazungumzi kiingereza?
 
Sio majimbo yote Marekani yanazungumza kiingereza na utamaduni , sheria na utaratibu unaofanana. Majimbo mengine yanaongea Spanish
Wengine hawalijui hill mkuu wakisikia marekani wanafikiri wote kina Denis Rodman US ni taifa pekee na la ajabu duniani...kuna wamarekan walio majimbo mengine hawajui na hawaelewi chochote kinachoendelea washington
 
Back
Top Bottom