Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

cofidence na kutokata tamaa vinamfanya kila siku anatengeza ladha mpya katika mziki wake
ningekua yeye siku mingi ningekua nshaacha kuimba
mana wabongo kwa kukatisha tamaa ndo talanta yao ya kwanza
hongera platnum
 
Sauti kama anamemeza ugali wa moto inakwaruza balaa ajipange sana ndo atamfikia king kiba kwa vocal
Alikwambia anashinda na kiba kwa vocal nani? Diamond ana teste yake na waafrica wanaipenda , ndo kaama kila mwaka anakwarua tuzo africa nzima wanamjua
Huyo wako mwenye vocal mwisho mombasa sijui nchi zingine hawamuoni?
 
Alikwambia anashinda na kiba kwa vocal nani? Diamond ana teste yake na waafrica wanaipenda , ndo kaama kila mwaka anakwarua tuzo africa nzima wanamjua
Huyo wako mwenye vocal mwisho mombasa sijui nchi zingine hawamuoni?
Sikiliza vizuri huwo wimbo zen ulete mlejesho je sauti haikwaruzi???
 
Sikiliza vizuri huwo wimbo zen ulete mlejesho je sauti haikwaruzi???
Unawajua dmx , ja rule , davido au olamide ? Kama ulikuwa hujawahi kusikia sauti za kukwaruza nenda kawasikilizw hawa ndo uje na hoja ya maana
 
Sauti kama anamemeza ugali wa moto inakwaruza balaa ajipange sana ndo atamfikia king kiba kwa vocal
Kwan hao coke hawakumuona Ali mwenye vocal nzuri mbona wanamtaka huyo huyo saut inayokwaruza, chuki ni uchafu wa moyo
 
Sauti kama anamemeza ugali wa moto inakwaruza balaa ajipange sana ndo atamfikia king kiba kwa vocal
Diamond kaimba vizuri sana sio huyo kiba kubana sauti tu diamond hana mpinzani kwa alichokionesha hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…