Mnyuke junior
Member
- Jun 1, 2021
- 19
- 15
Kocha carlo ancelotti ameondoka EVERTON FC ya nchini uingereza na kujiunga na miamba ya soka ya nchini uhispania REAL MADRID mkataba umesainiwa mpaka mwaka 2024.
===
REAL MADRID YAMTANGAZA ANCELOTTI KUWA KOCHA WAKE
Carlo Ancelotti, aliyejiunga Everton kwa miaka minne na nusu Desemba 2019 amewashukuru Wakurugenzi, Wachezaji na Mashabiki
Amejiunga na Madrid kwa mkataba wa miaka 3 kufuatia kujiuzulu kwa Zinedine Zidane
===
Carlo Ancelotti, aliyejiunga Everton kwa miaka minne na nusu Desemba 2019 amewashukuru Wakurugenzi, Wachezaji na Mashabiki
Amejiunga na Madrid kwa mkataba wa miaka 3 kufuatia kujiuzulu kwa Zinedine Zidane