tc_edo
Senior Member
- Apr 9, 2021
- 123
- 98
Agents wa Carlo Ancelotti kocha wa Everton wapo mbioni kuvunja mkataba na team hio ili Ancelotti ajiunge na mabingwa wa La Liga (2019/2020).
SIO TETESI TENA : It's official Ancelotti amevunja mkataba na Everton na kujiunga na Real Madrid kwa mkataba wa miaka 3.
SIO TETESI TENA : It's official Ancelotti amevunja mkataba na Everton na kujiunga na Real Madrid kwa mkataba wa miaka 3.