Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
Unafananisha Tende na Mende...
Carlo Ancelotti amebeba pia hilo kombe akiwa kama mchezaji wa AC Milan dume kupata kutokea akiwa na manguli wenzie kama Mauro Tasotti, Paolo Madini, Alesandro Billy Costacurta, Franco Baresi, Colombo, Roberto Donadoni, Frank Rhiijkard, Marco Van Barstern, ruud Gullit na yeye Carlo Ancelotti...
Hakuna na hapatatokea kikosi kama hicho na pia hakuna na hakutatokea kocha kama Ancelotti.
Forza Milan
Numero uno Carlo
Nakubaliana na wewe kuhusu Carlo. Mengine nakuachia.
Carlo angepata clubs kama Man U au Arsenal ambazo zina falsafa ya ku-sustain technical bench kwa miongo kadhaa, angeweza kubeba idadi ya mataji waliyobeba Ferguson na Wenger combined. It is a FACT!