wadau,
Naomba maujuzi(legal requirements ) na baadhi ya details kwa wenye ufahamu juu ya biashara hii..ningependa kujua mara baada ya kusajiliwa brela kampuni yangu/frm natakiwa kujisajili na board gani pia ili kuwa na uhalali wa kufanya car rental services..
Naomba kujuzwa wadau..
Naomba maujuzi(legal requirements ) na baadhi ya details kwa wenye ufahamu juu ya biashara hii..ningependa kujua mara baada ya kusajiliwa brela kampuni yangu/frm natakiwa kujisajili na board gani pia ili kuwa na uhalali wa kufanya car rental services..
Naomba kujuzwa wadau..