Captain wa sasa wa Azam

kurlzawa

JF-Expert Member
Jan 23, 2018
16,703
20,606
Wakuu habarini za mda huu.

Napenda kuuliza ni nini kilimfanya CAPTAIN wa Sasa wa AZAM kuchange jina?

Mwaka Jana alikuwa anaitwa SOMEBODY BRAYSON Kama sikosei saivi namuona anaitwa SOSPETER BAJANA

Upi ukweli juu ya huyu kiungo Fundi?

sospeter_bajana04~p~CVpOky0LQ53~1.jpg
 
Captain msaidizi huyo, Captain mwenyewe ni Aggrey Morris akisaidiwa na Sure Boy ndio kisha huyo jamaa.

Sina hakika kwanini kabadili jina?
 
Na mimi nilitaka kuuliza, hivi katika mpira ni kuamua tu umeamkaje unaandika jina lolote katika jezi, hata A.K.A?

Naona wachezaje kadhaa wa ligi kuu mfano Hassan Dilunga kaandika HDJ katika jezi. Onyango naye msimu huu kaandika Achieng. Benard Morrison kaandika Efua Morris.

Wachezaji hawana majina ya kudumu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Na mimi nilitaka kuuliza, hivi katika mpira ni kuamua tu umeamkaje unaandika jina lolote katika jezi, hata A.K.A?

Naona wachezaje kadhaa wa ligi kuu mfano Hassan Dilunga kaandika HDJ katika jezi. Onyango naye msimu huu kaandika Achieng. Benard Morrison kaandika Efua Morris.

Wachezaji hawana majina ya kudumu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Uko nje yama wengine wanatumia A.K.A. Zao uyo jamaa kachange jina kabisa
 
Wakuu habarini za mda huu.

Napenda kuuliza ni nini kilimfanya CAPTAIN wa Sasa wa AZAM kuchange jina?

Mwaka Jana alikuwa anaitwa SOMEBODY BRAYSON Kama sikosei saivi namuona anaitwa SOSPETER BAJANA

Upi ukweli juu ya huyu kiungo Fundi?

View attachment 1993418
Mara nyingi huwa ni Matakwa ya Waganga wao wa Kienyeji hasa katika Suala zima la Nyota.
 
Back
Top Bottom