Capt. Ibrahim Traore: A Slave who does not rebel doesn't deserves Pity

Capt. Ibrahim Traore: A Slave who does not rebel doesn't deserves Pity

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
82,412
Reaction score
88,502
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.

yaani wewe ni kilaza sugu. Lugha imekupiga chenga umeishia kuandika vitu vya ajabu tu. ungeomba hata utafsiriwe kwa kiswahili pengine ungeandika jambo la maana
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.

Africans need’s people with his face to overthrow black colonialists and their puppets.
 
Back
Top Bottom