kwa msaada wa haraka haraka fanya hivi... wakati unatype kwenye keyboard ya laptop yako shikilia botton ya SHIFT, ukifanya hivyo uku unaandika kwa mkono mmoja itaandika kwa maandishi madogo..... Nadhani wengine watakuja kukusaidia me ngoja niwahi kwenye Harusi maana nina kiu ya bia sana!