Canter tani Moja nusu kwa bei Chee

Canter tani Moja nusu kwa bei Chee

BizMogul

Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
42
Reaction score
11
wadau nauza canter Tani moja na nusu kwa bei chee sana,
imetembea kilometer 46,000 tu! na namba ni CRN ina muda mchache
sana tokea ifike tanzania na imetumika muda mchache sana.

Ina ki kitu na AC inafanya kazi...

Bei inaanzia mil 20, kwa muhitaji anitafute
 
wadau nauza canter Tani moja na nusu kwa bei chee sana,
imetembea kilometer 46,000 tu! na namba ni CRN ina muda mchache
sana tokea ifike tanzania na imetumika muda mchache sana.

Ina ki kitu na AC inafanya kazi...

Bei inaanzia mil 20, kwa muhitaji anitafute
Weka particular za gari vizuri hapa kama engine type, make year, imported from Dubai or Japan? inasaidia sana kufanya maamuzi. Ila dah mkuu mbona bei kali sana? Tani 3.5 nilikuwa natafuta nitapata? Na bei je?
 
Weka particular za gari vizuri hapa kama engine type, make year, imported from Dubai or Japan? inasaidia sana kufanya maamuzi. Ila dah mkuu mbona bei kali sana? Tani 3.5 nilikuwa natafuta nitapata? Na bei je?
hahah mkuu kweli naweka details kaka now,tani tatu na nusu mkuu sijajua mm hiyo ni yangu niliagiza ila for now nina shida fulani ndio maana naiuza
 
20 mkuu utakuwa uko juu sana, lakini weka specifications za hiyo garpamoja na picha zake kama mkuu Zogwale alivyokushauri , then we ll move on from there
 
Weka particular za gari vizuri hapa kama engine type, make year, imported from Dubai or Japan? inasaidia sana kufanya maamuzi. Ila dah mkuu mbona bei kali sana? Tani 3.5 nilikuwa natafuta nitapata? Na bei je?

Hiyo bei yake ukiongeza 13,000 una Fuso Fighter Dump safi kabisa toka Japan
 
20 mkuu utakuwa uko juu sana, lakini weka specifications za hiyo garpamoja na picha zake kama mkuu Zogwale alivyokushauri , then we ll move on from there

poa kaka ila hiyo bei mkuu ni ya kuanzia maelewano mkuu
 
Model Number ni (1.5 tons Flatbody U-FB511B FB511B-403067)
01s.jpg
 
wadau nauza canter Tani moja na nusu kwa bei chee sana,
imetembea kilometer 46,000 tu! na namba ni CRN ina muda mchache
sana tokea ifike tanzania na imetumika muda mchache sana.

Ina ki kitu na AC inafanya kazi...

Bei inaanzia mil 20, kwa muhitaji anitafute

Weka picha
 
ndio nahitaji canter tani 1.5 au 2 ila bajet ni 17 iwe kama hiyo picha ya hapo juu
 
Back
Top Bottom