Kwanza asante mkuu kwa huduma yako lakin nna maswal macahache
hyo 269000 ni inclusive na subscrption fee ya first month au ni kwa receiver peke ake? Vip gharama za ufund maana naona kuna mdau alisema ses 4, 22.0 w kupata ni kazi sana so where is your support on that
kitu kingne ni kwamba una office incase nikihtaj customer suport vikipata matatizo?