Niko hapa da Mwajuma mwaJ. Vipimo bure, dawa/miwani utalipia........ si unajua: "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" - ??
Niko hapa da Mwajuma mwaJ. Vipimo bure, dawa/miwani utalipia........ si unajua: "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" - ??
Niko hapa da Mwajuma mwaJ. Vipimo bure, dawa/miwani utalipia........ si unajua: "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new" - ??
Asprin tafadhani sana yaani unataka ufanyie majaribio kwenye macho yangu! Khaa! Hata kama you want to try something new, duh! sio kwa macho yangu. Btw, I'm not "Mwajuma" mkuu. That mwaJ is more than a mere name. Si unaona inavyoandikwa?
Dotworld sitaki hata kujisumbua, huyo wa kwenye picha ya kwanza nimemuona baada ya MziziMkavu kumchorea kiduara. Humo kwenye makorokoro si ndio nitayaua kabisa macho yangu kwa kukodolea monitor siku nzima!
Ndugu yangu Dotworld, haya macho yangu bila msaada wa bia huwa hayaonagi wanyama hai. Ngoja nikitoka kwa mkoloni jioni ntaitumbulia macho tena hii picha wakati namimina Tusker Malt kwa koromeo.
JF raha tupu, kuanzia post #22ikiwemo na hii yangu, uchakuaji thread kwenda mbele. Mara nyingi hapa ukiangalia mada inavyanza na inakomalizia, utashangaa.
Paka yupo hapo penye duara jeusi kushpto ya picha.
JF raha tupu, kuanzia post #22ikiwemo na hii yangu, uchakuaji thread kwenda mbele. Mara nyingi hapa ukiangalia mada inavyanza na inakomalizia, utashangaa.