can women and men be friends?

BAK hili suala linakuaga na mixed views kama inavyojitokeza kwenye clips hapo. Ila kinacholetaga utata hasa ni motives behind our friendship. Baadhi yetu tunakuwaga na 'hidden agenda' ila tunaona njia nzuri ya kutimiza lengo lako ni kuanzisha urafiki wa kawaida kwanza na mhusika.

Kwahiyo ni suala complicated kwa sababu unakuwa hujui mwenzio ana lengo gani zaidi. Binafsi naamini we can just be friends, na ninao marafiki wa kike wengi tu na sijaonaga signs za kunitega hivyo naamini hata wao wananiona kama friends tu wa kawaida
 
mi nashangaa, kuna baadhi siwezi urafiki nao kabisa lazima nimfanye kitoweo kuna wengine hata room moja tunalala na bafu tunashare lakini always they will be my friends nothing more.
 
Hii ni eye opener, ma papito wote wamegoma haiwezekani

na mamito wote wamekubali inawezena.

Concl. mamamito wanajidanganya sbb hao watu wanaodai

ni marafiki wanagoma kuwa secretly wanawa like.
 
Aisee hii kitu ni ngumu sana kusema kweli hasa binti awe ana mvuto wa hali ya juu. Umeona hapo njemba zote zinapinga kwamba si rahisi, vimwana mwanzoni vilidai kwamba inawezekana mkawa "friends" bila ya kuwepo "hidden agendas" lakini walipoombwa ufafanuzi zaidi wakaanza kupata vigugumizi.

Kama mdada/mkaka hana mvuto basi urafiki huwa ni rahisi sana kuudumisha vinginevyo lazima itatokea siku mtazima taa, kufunga pazia na kuanza kuongea kwa sauti za minong'ongo ili watu wasiwasikie.


BAK hili suala linakuaga na mixed views kama inavyojitokeza kwenye clips hapo. Ila kinacholetaga utata hasa ni motives behind our friendship. Baadhi yetu tunakuwaga na 'hidden agenda' ila tunaona njia nzuri ya kutimiza lengo lako ni kuanzisha urafiki wa kawaida kwanza na mhusika.

Kwahiyo ni suala complicated kwa sababu unakuwa hujui mwenzio ana lengo gani zaidi. Binafsi naamini we can just be friends, na ninao marafiki wa kike wengi tu na sijaonaga signs za kunitega hivyo naamini hata wao wananiona kama friends tu wa kawaida
 
Unapenda vitoweo eeh!? :):)

mi nashangaa, kuna baadhi siwezi urafiki nao kabisa lazima nimfanye kitoweo kuna wengine hata room moja tunalala na bafu tunashare lakini always they will be my friends nothing more.
 
Hii ni eye opener, ma papito wote wamegoma haiwezekani

na mamito wote wamekubali inawezena.

Concl. mamamito wanajidanganya sbb hao watu wanaodai

ni marafiki wanagoma kuwa secretly wanawa like.

Umeona eeh! ni ngumu aisee sasa siku hizi wamekuja na kitu kinaitwa "friends with benefits" kila inapotokea mahanjam kuwazidi basi wanaenda kubanjuana bila matatizo.
 
Duh! Mtu wangu mi siwezi hivyo, kulala na demu, na kuoga naye halafu nisimgonge, hata kama hataki nitambaka, la sivyo ataniona mi "nyoka wa kibisa"
 
Umeona eeh! ni ngumu aisee sasa siku hizi wamekuja na kitu kinaitwa "friends with benefits" kila inapotokea mahanjam kuwazidi basi wanaenda kubanjuana bila matatizo.


mie nakubaliana na wakaka, hakunaga aisee! teh teh teh.

labda mimi na Boflo tu ndio tunaweza.
 
Last edited by a moderator:
Aisee hii kitu ni ngumu sana kusema kweli hasa binti awe ana mvuto wa hali ya juu. Umeona hapo njemba zote zinapinga kwamba si rahisi, vimwana mwanzoni vilidai kwamba inawezekana mkawa "friends" bila ya kuwepo "hidden agendas" lakini walipoombwa ufafanuzi zaidi wakaanza kupata vigugumizi.

Kama mdada/mkaka hana mvuto basi urafiki huwa ni rahisi sana kuudumisha vinginevyo lazima itatokea siku mtazima taa, kufunga pazia na kuanza kuongea kwa sauti za minong'ongo ili watu wasiwasikie.

Aaaha! Mkuu nitake radhi hapo kwa red, unamaana marafiki zangu wa kike nimeweza kudumu nao kwa vile hawana mvuto?

Hapana mkuu, inategemea tu na wewe mwenyewe, unajiheshimu kiasi gani na unachukuaje suala la cheating
 
  • Thanks
Reactions: BAK
lol! wewe uko katika lile kundi ambalo hata binti awe na mvuto kiasi gani bado utaweza kumaintain normal friendship bila kutaka zaidi kutoka kwa huyo rafiki lakini njemba nyingi zitashindwa kuendeleza uzalendo.

Aaaha! Mkuu nitake radhi hapo kwa red, unamaana marafiki zangu wa kike nimeweza kudumu nao kwa vile hawana mvuto?

Hapana mkuu, inategemea tu na wewe mwenyewe, unajiheshimu kiasi gani na unachukuaje suala la cheating
 
lol!....Wakaka wanasema kweli hawataki kuzungushazungusha kama wadada


na hio ndio inafanya game ichezeke na iwe tamu. hio ya cat & mouse. teh teh
BAK sie tuache kuzuga njoo tujaribu kama inawezekana kuwa frndz.
 
Last edited by a moderator:
Urafiki ni kusaidiana wakati wa Shida.

Sasa kama "nimebanwa" then haunisaidii ndo mpango gani huo??

Unaweza ukanisaidia tu kama best yako na tusiwe wapenzi!!
 
Urafiki na Erotica!!!! Saa zote anawaza DUDU tu hahahah lol! (ushahidi angalia threads zilizoanzishwa na ERO wa JF) kamwe hauwezekani hasa ukitilia maanani Erotica kaumbika katika kila kona ya mdada ambayo huwa ina mvuto sana kwa wanaume walio wengi.

na hio ndio inafanya game ichezeke na iwe tamu. hio ya cat & mouse. teh teh
BAK sie tuache kuzuga njoo tujaribu kama inawezekana kuwa frndz.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom