Hii ni eye opener, ma papito wote wamegoma haiwezekani
na mamito wote wamekubali inawezena.
Concl. mamamito wanajidanganya sbb hao watu wanaodai
ni marafiki wanagoma kuwa secretly wanawa like.
BAK hili suala linakuaga na mixed views kama inavyojitokeza kwenye clips hapo. Ila kinacholetaga utata hasa ni motives behind our friendship. Baadhi yetu tunakuwaga na 'hidden agenda' ila tunaona njia nzuri ya kutimiza lengo lako ni kuanzisha urafiki wa kawaida kwanza na mhusika.
Kwahiyo ni suala complicated kwa sababu unakuwa hujui mwenzio ana lengo gani zaidi. Binafsi naamini we can just be friends, na ninao marafiki wa kike wengi tu na sijaonaga signs za kunitega hivyo naamini hata wao wananiona kama friends tu wa kawaida
Can we be friends?
Hii ni eye opener, ma papito wote wamegoma haiwezekani
na mamito wote wamekubali inawezena.
Concl. mamamito wanajidanganya sbb hao watu wanaodai
ni marafiki wanagoma kuwa secretly wanawa like.
Umeona eeh! ni ngumu aisee sasa siku hizi wamekuja na kitu kinaitwa "friends with benefits" kila inapotokea mahanjam kuwazidi basi wanaenda kubanjuana bila matatizo.
Aisee hii kitu ni ngumu sana kusema kweli hasa binti awe ana mvuto wa hali ya juu. Umeona hapo njemba zote zinapinga kwamba si rahisi, vimwana mwanzoni vilidai kwamba inawezekana mkawa "friends" bila ya kuwepo "hidden agendas" lakini walipoombwa ufafanuzi zaidi wakaanza kupata vigugumizi.
Kama mdada/mkaka hana mvuto basi urafiki huwa ni rahisi sana kuudumisha vinginevyo lazima itatokea siku mtazima taa, kufunga pazia na kuanza kuongea kwa sauti za minong'ongo ili watu wasiwasikie.
Aaaha! Mkuu nitake radhi hapo kwa red, unamaana marafiki zangu wa kike nimeweza kudumu nao kwa vile hawana mvuto?
Hapana mkuu, inategemea tu na wewe mwenyewe, unajiheshimu kiasi gani na unachukuaje suala la cheating
Unapenda vitoweo eeh!?
na hio ndio inafanya game ichezeke na iwe tamu. hio ya cat & mouse. teh teh
BAK sie tuache kuzuga njoo tujaribu kama inawezekana kuwa frndz.