Can there be a positive stories in marriages? All i hear are negative.....!

Can there be a positive stories in marriages? All i hear are negative.....!

Tasia I

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
1,223
Reaction score
193
Wakuu....!
nimeshawishika kuuliza swali hili jamani.
Kila story utakayosikia kuhusu ndoa ni hasi. hivi katika ndoa hakuna mema yanayotokea?
nauliza hivi kwa maana mimi sina ndoa(wala sijaoa) ila hua nina kampan kubwa ya watu
vijana na wazee wenye ndoa. sasa story zote ni mara mke wa fulani kicheche...mara
wanawake/wanaume wanakera jamani...mara filani kafumaniwa......mara mtoto wa fulani si wa mume
wake ni wa nje ya ndoa....mara.....mara....mara...mara......
nilishahudhuria harusi kibao, ikifika wakati wa nasaha, watoa nasaha wantumia muda allmost
wote kueleza magumu ayaliyopo kwene ndoa...oooh ndoa uvumilivu....ndoa kusamaheana.....
ndoa......ndoa kubebeana mizigo........mkitaka kuachana tuiteni kama mlivyotuita leo hapa mvuane
pete tkishuhudia kama mlivyovishana.....khaaaaaaa!
Hali hii inakatisha tamaa na inanifanya niwaze hivi kuna haja kweli ya kuoa????


HIVI HAKUNA STORY CHANYA KATIKA NDOA.....??
 
Hayo ni mawzzo ambayo yatakufanya uione ndoa chungu ila ndoa ni nzuri sana na ina mazuri sana
Usifikirie fulani wala usisikie ya fulani japo wenye ndoa hawanyimwi kujifunza na kuiga ila wewe ishi namna unavyopenda ndoa yako iwe
Ndoa yangu na ya kwako hazitokaa zifanane hata siku moja hata kama tumeoa ndugu waliozaliwa pamoja kutakuwa na tofauti
yako mazuri sana ndani ya ndoa na muhimu ni kuwa ishi namna unavyotaka wewe na sio kama fulani anavyotaka au kama ndoa ya fulani
 
Mazuri haya-attract attention halafu watu wanaogopa kushare mazuri yao kwa kuogopa kuonekana wanaboast. Hivyo kwa maoni yangu mazuri au sio mabaya sana yapo mengi pengine kuliko mabaya. Shida mabaya yanasemwa sana kiasi kwamba mazuri hayasikiki!

So cheer up, ukipata mnayependana go for it!
 
@Mr.Rocky,
hii sawa, na hii sio kwa ndoa peke yake. sio sahihi saana ku predict maisha yako kwa reflection ya maisha ya mtu mwingine.
lakini kama kitu ndicho kinachotea mara nyingi na kwa watu wengi tunakiona kua ndio uhalisia.
sasa kama ndoa ina mazuri mbona hua hamyasemi?
Anyway........!
 
Ndoa ni tamu sana mkuu, asikudanganye mtu. Kama unataka kuamini ni tamu kiasi gani mtafute mtu aliyeoa demu wa bongo movie akuhadithie.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mazuri haya-attract attention halafu watu wanaogopa kushare mazuri yao kwa kuogopa kuonekana wanaboast. Hivyo kwa maoni yangu mazuri au sio mabaya sana yapo mengi pengine kuliko mabaya. Shida mabaya yanasemwa sana kiasi kwamba mazuri hayasikiki!

So cheer up, ukipata mnayependana go for it!


Na Kaunga wengi wanapenda kufukunyua mambo ya ndoa za watu wakati hata waongeaji wengine hawana ndoa na hawajawahi ingia kwenye ndoa ila ndio waongeaji wa ndoa za watu
Na ni ukweli mabaya ya ndoa ndio yanasemwa zaidi hakuna anayesema yale mazuri kwa kuwa utaonekana unajifagilia
yapo mengi mazuri na wanaotaka kuingia waingie tuu
 
Last edited by a moderator:
@Mr.Rocky,
hii sawa, na hii sio kwa ndoa peke yake. sio sahihi saana ku predict maisha yako kwa reflection ya maisha ya mtu mwingine.
lakini kama kitu ndicho kinachotea mara nyingi na kwa watu wengi tunakiona kua ndio uhalisia.
sasa kama ndoa ina mazuri mbona hua hamyasemi?
Anyway........!

Hilo ndio ninalokuambia mkuu hakuna anayeyasema mazuri ya ndoa yake maana utaonekana unajiboost na unaringa
Bora waseme yale mabaya ili ukiingia uwe na tahadhari kujua kuwa unaanza maisha yako na ungependa ndoa yako iwe namna unavyotaka wewe
 
Wakuu....!
nimeshawishika kuuliza swali hili jamani.
Kila story utakayosikia kuhusu ndoa ni hasi. hivi katika ndoa hakuna mema yanayotokea?
nauliza hivi kwa maana mimi sina ndoa(wala sijaoa) ila hua nina kampan kubwa ya watu
vijana na wazee wenye ndoa. sasa story zote ni mara mke wa fulani kicheche...mara
wanawake/wanaume wanakera jamani...mara filani kafumaniwa......mara mtoto wa fulani si wa mume
wake ni wa nje ya ndoa....mara.....mara....mara...mara......
nilishahudhuria harusi kibao, ikifika wakati wa nasaha, watoa nasaha wantumia muda allmost
wote kueleza magumu ayaliyopo kwene ndoa...oooh ndoa uvumilivu....ndoa kusamaheana.....
ndoa......ndoa kubebeana mizigo........mkitaka kuachana tuiteni kama mlivyotuita leo hapa mvuane
pete tkishuhudia kama mlivyovishana.....khaaaaaaa!
Hali hii inakatisha tamaa na inanifanya niwaze hivi kuna haja kweli ya kuoa????


HIVI HAKUNA STORY CHANYA KATIKA NDOA.....??

Story chanya zipo lakini kama unavyojua, mambo mazuri huwa hayavumi, bali habari mbaya husambaa kama moto wa nyikani, hilo ndilo linalofanya habar hasi za kwenye ndoa zinakuwa common kuliko habari chanya. Na pia watu wengi waliopo kwenye ndoa hawapendi kutangaza tangaza mazuri ya wenzi wao kwa kuogopa madowezi ambao wangependa kuxperiece hayo mambo. So

Kinachosisitizwa ni kuvumiliana hasa kunapotokea mikwaruzano kitu ambacho ni kawaida kwa binadamu wowote wanapokua pamoja. So usiogope, panga michakato na uitekeleze ili uanze kufaidi mazuri yaliyopo ktk ndoa ambayo huwa maranyingi hayasikiki.
 
I think the question ought to be 'are there' rather than 'can there be'.
 
mazuri yapo mbona ila si unajua tena machungu yanayochoma ni yale matamu tamu
 
Mazuri ni relative
Mie ukuryani kupigwa ni sawa na 'denda'
 
Unapopata fursa ya kumshauri mtu kuhusiana na jambo analotaka kulifanya, under limited time, kumsaidia ni ku concentrate kwenye challenges atakazokutana nazo na jinsi ya kuzitatua ili aweze kufanikiwa. Si vyema kutumia mudamwingi kuelezea raha atakazokutana nazo na ukajikuta hujapata muda wa kumwelezea changamoto, hatamaye changamoto zinakuja kumkuta by suprise na mwisho wake ni failure. So thats why hata kwenye harusi unasikia mara nyingi wakielezea changamoto za kwenye ndoa!. it is a nice industry! karibu sana mazee!
 
Mazuri ni relative
Mie ukuryani kupigwa ni sawa na 'denda'
sawa mkuu, ila ukipigwqa uje utuambie basi kua ndoa yako iko poa hata jana
mwenza wako kakupga ngumi hadi ukavunjika meno......! teh teh teh...!
 
"it is a nice industry! karibu sana mazee!" Manifesto. nitakutafuta mkuu tushiriki huu uzoefu pamoja.
 
Last edited by a moderator:
"it is a nice industry! karibu sana mazee!" Manifesto. nitakutafuta mkuu tushiriki huu uzoefu pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Manifesto, Sio kweli kwamba hakuna mazuri katika ndoa, yapo mengi. Ila ni kawaida kwa mambo mabaya kuenezwa zaidi kuliko mazuri. Aidha, kumbuka kuwa ndoa ni maisha na katika maisha kuna kupanda na kushuka, kuna nyakati za furaha na nyakati za shida. Kwa hiyo ussingie kwnye ndoa ukitegemea raha siku zote au tabu siku zote. Ni lazima upate raha na tabu ili uweze kupata nafasi ya kukomaa na kumkumbuka Mungu wako.
 
Tasia1 Ndoa siyo hadithi kwamba eti umesikia watu wanasema!!!!!!!!!!!!! yanayoongelewa pale ni ya kawaida sana. jitahidi uingie utaona utamu wake.
 
tasia 1 usiogope kuindia kwenye taasisi ya ndoa mkuu
Ni taasisi nzuri sana ambamo kuna raha zake na mambo yake mazuri na mabaya yapo ila ni challenge kwenye maisha maana hamuwezi kukaa pamoja muache kuwa na mambo madogo madogo ambayo huwa hata hayahittaji nguvu kuyatatua mnajikuta baada ya muda mfupi mnacheka as if hamkuwa na mgogoro wowote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom