Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,355
anyway, unalipi mkuu lakusema.
tupe basi chanya za ndoa yako...manake me wala siatamani kuoa
naonatu ka nitajizingua.....!
Chanya za ndoa
- Unapata mtu ambaye unefeel yuko karibu na wewe kuliko mtu yeyote humu duniani
- Unapata mtu ambaye unaweza kuwa wazi kwake, kimawazo na kimwili kwa 100% bila wasiwasi.
- Unapata mtu ambaye unahisi kila unachofanya, kila ulicho nacho, na kila unachopanga, yupo kukupa support maana nyie ni wamoja
- Unapata mtu ambae wakati wowote ukijisikia hamu ya mgegedo, yupo kutoa, unless kwa sababu fulani hasa za kibayologia
- Unapata wasaa wa kuitwa Mr au Mrs
- Unapata mtu wa kukusaidia kwa uhakika zaidi kulea watoto kama Mungu atakujaalia
- Unakuwa umekamilika mbele ya jamii (hasa ya kiafrika), kwa kuitwa 'familia', kwa mfano ukienda sehemu utatambulishwa kama famila ya X. X unakuwa wewe sio wazazi wako tena
- Unapata heshima stahiki katika jamii, hasa kama umri umefika
- Unajisikia uko salama zaidi (hasa kwa wanawake)
- Unapata nafasi ya kuanzisha familia
- ---
- ---
- ---
- ---
- ---
- ---
- ---