katika movie ya devil kingdom, kuna kipande kanumba aliulizwa
"can your God create something more powerful than him" View: https://youtu.be/O3F1KXlrfWI?t=657
Hili swali ni zito, wana jamvi karibuni tujadili
Shetani huonekana ana nguvu sana ukiangalia jinsi anavyozungumziwa hapa ulimwenguni na shetani ndio huonekana anashindana na Mungu, lakini pia shetani huyo huyo kaumbwa na Mungu.
Shetani huonekana ana nguvu sana ukiangalia jinsi anavyozungumziwa hapa ulimwenguni na shetani ndio huonekana anashindana na Mungu, lakini pia shetani huyo huyo kaumbwa na Mungu.