Weltmeisterschaftung
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 364
- 247
inawezekana huyu jamaa kuna kitu amekiona labda atudadavulie kidogoduh,mkuu kwanini umewaza hivyo!?
Inawezekana lakini ni mpaka hali iwe katika Def Cont 04,wakuu nawasalimu wote na kheri ya mwaka mpya...
@farAaaaàtffffdwpSlz naomba kujua kama je inawezekana kwa rais kuitoroka nchi yake kama vile wafanyavo baadhi ya watumishi wa idara za ujasusi?
Ninawasilisha....
Inawezekana lakini ni mpaka hali iwe katika Def Cont 04,
Kwa Tanzania kipindi cha kilele cha uchaguzi mpaka siku 14 za mwanzo baada ya uchaguzi hali ilifika Def Cont 02, lakini kwa sasa hata def cont 01 haipo... Kwa Gambia mpaka jana ilikuwa Def Cont 02.8... Labda huko ndiko Jameh anaweza kuitoroka nchi.
Swali ni nani anapima kiwango cha hali hii ya hatar (Def cont)? Jibu lipo kwa Mtikila
Mkuu umefumba Sana, hebu jaribu kuingia Kwa undani kidogo kuhusu Def cont... na mtikila.Inawezekana lakini ni mpaka hali iwe katika Def Cont 04,
Kwa Tanzania kipindi cha kilele cha uchaguzi mpaka siku 14 za mwanzo baada ya uchaguzi hali ilifika Def Cont 02, lakini kwa sasa hata def cont 01 haipo... Kwa Gambia mpaka jana ilikuwa Def Cont 02.8... Labda huko ndiko Jameh anaweza kuitoroka nchi.
Swali ni nani anapima kiwango cha hali hii ya hatar (Def cont)? Jibu lipo kwa Mtikila
melkiorysaranga karibu na wewe ichangie unachokijua...[/QUOTE Nitakuja kwa ID nyingine kuchangia hii mada
wakuu nawasalimu wote na kheri ya mwaka mpya...
Leo naomba kujua kama je inawezekana kwa rais kuitoroka nchi yake kama vile wafanyavo baadhi ya watumishi wa idara za ujasusi?
Ninawasilisha....
Def cont. Ni kitu gan mkuu??Inawezekana lakini ni mpaka hali iwe katika Def Cont 04,
Kwa Tanzania kipindi cha kilele cha uchaguzi mpaka siku 14 za mwanzo baada ya uchaguzi hali ilifika Def Cont 02, lakini kwa sasa hata def cont 01 haipo... Kwa Gambia mpaka jana ilikuwa Def Cont 02.8... Labda huko ndiko Jameh anaweza kuitoroka nchi.
Swali ni nani anapima kiwango cha hali hii ya hatar (Def cont)? Jibu lipo kwa Mtikila