abour JF-Expert Member Joined Apr 8, 2014 Posts 735 Reaction score 311 Dec 17, 2015 #1 Natafuta camping tents mpya au hata iliyotumika lakini iko kwenye hali nzuri,. Iwe nauwezo wakuhifadhi watu wawili. Kama kunamtu anayo au unafahamu mahali ambapo naweza nikapata anifahamishe.. Nawasilisha
Natafuta camping tents mpya au hata iliyotumika lakini iko kwenye hali nzuri,. Iwe nauwezo wakuhifadhi watu wawili. Kama kunamtu anayo au unafahamu mahali ambapo naweza nikapata anifahamishe.. Nawasilisha
abour JF-Expert Member Joined Apr 8, 2014 Posts 735 Reaction score 311 Dec 17, 2015 Thread starter #2 Kama hizi hapo chini.. Attachments 1450375694166.jpg 8.3 KB · Views: 141 1450375772273.jpg 4.2 KB · Views: 168 1450375795315.jpg 12.2 KB · Views: 143 1450375811298.jpg 9.7 KB · Views: 166
Barraza JF-Expert Member Joined Oct 10, 2011 Posts 481 Reaction score 270 Dec 17, 2015 #3 Pale GAME ya Mlimani City zipo tents za aina mbali mbali.
abour JF-Expert Member Joined Apr 8, 2014 Posts 735 Reaction score 311 Dec 17, 2015 Thread starter #4 Barraza said: Pale GAME ya Mlimani City zipo tents za aina mbali mbali. Click to expand... Nilienda j3 mkuu hazikuwepo..
Barraza said: Pale GAME ya Mlimani City zipo tents za aina mbali mbali. Click to expand... Nilienda j3 mkuu hazikuwepo..
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,984 Dec 17, 2015 #5 Nenda open sanit. Iko karibu na taa za tabata ukitokea ubungo, upande wa kushoto. Just before the petrol station.
Nenda open sanit. Iko karibu na taa za tabata ukitokea ubungo, upande wa kushoto. Just before the petrol station.
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,406 Dec 18, 2015 #6 King'asti said: Nenda open sanit. Iko karibu na taa za tabata ukitokea ubungo, upande wa kushoto. Just before the petrol station. Click to expand... Hakuna address mkuu naona duh maelekezo mengi mengi! Hujambo lkn wew?
King'asti said: Nenda open sanit. Iko karibu na taa za tabata ukitokea ubungo, upande wa kushoto. Just before the petrol station. Click to expand... Hakuna address mkuu naona duh maelekezo mengi mengi! Hujambo lkn wew?
abour JF-Expert Member Joined Apr 8, 2014 Posts 735 Reaction score 311 Dec 18, 2015 Thread starter #7 King'asti said: Nenda open sanit. Iko karibu na taa za tabata ukitokea ubungo, upande wa kushoto. Just before the petrol station. Click to expand... Asante mkuu..
King'asti said: Nenda open sanit. Iko karibu na taa za tabata ukitokea ubungo, upande wa kushoto. Just before the petrol station. Click to expand... Asante mkuu..