Kaka Mshana hivi unaweza eleza chochote kuhudu rais Nkurunziza wa Burundi aliponusulika na kupinduliwa nini kilifanya zoezi lile lililopangwa kwa msaada wa kagame ( inasemekana ) ku '' fail ''
je ni kweli kama inavyosemekana kua TISS ndio walio okoa jahazi na kumrudisha Pierre Bujumbura?
Na kama ni kweli walihusika ni kwa faida ipi?
Ukinijibu i ll feel proudly