Jamani nawasalimu! Kisha nawaombeni msaada.Kuna tangazo ktk website ya UDOM (university of dodoma) lina title kama hiyo hapo juu.Mimi nimeshindwa kulisoma kwani natumia mobile device ambayo hai-suport pdf files.
Hivyo naomba mnisaidie kuweka hapa katika format ya html.Ili niweze kuona majina ya walioitwa.
Natanguliza shukrani.
Hivyo naomba mnisaidie kuweka hapa katika format ya html.Ili niweze kuona majina ya walioitwa.
Natanguliza shukrani.