simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,881
Mkuu hao wadudu wako wa kijani wameshindwa kwa miaka 50+ huwezi kuwalinganisha na ukawa. Bora hao ukawa wafanye ivyo tugesema kuna jambo jipya litatokea tuvumilie kwa muda kuwapima.Kweli lakin kaka wanapokosea wakosolewe lakin hata wangekuwa UKAWA pia kuna jambo wangefanya likamuumiza Mwana UKAWA haimaanishi kuwa wangefanya kwa hundred percent
Unajua usipotaja upande wako watu wanadhan unaiponda serikali we UKAWA, au ukisema ukweli fulan juu ya UKAWA watu wanasema we CCM. Tanzania imefika hatua ya watu kuogopa ukweli unaohusu upande wao sijui ni upofu au nnKelvin ipi nia yako iliyokusababishia kutaja UANACHAMA WAKO?/ ili iwaje?,au kipi kitokee?,au ndio itaipa uzito hoja yako?/
Majuto aliyonayo na amini kama ndio walw aliyowachagua ndio wanamsomesha namba kiasi icho.Kelvin ipi nia yako iliyokusababishia kutaja UANACHAMA WAKO?/ ili iwaje?,au kipi kitokee?,au ndio itaipa uzito hoja yako?/
Sawa lakin si kwa calculations hiyo
Haahaaaa na mbado msubirie parking mjini kwa saa inakuja 500 kwa saa hakuna cha jumapili wala chikukuu wenye magari ya mukopo mupoooNaanza kwa kusema kuwa mi ni mwanachama wa CCM tokea mwaka 2002 na mwanachama hai kabisa,
Usomaji wa namba huu unatuumiza watu wengi sana tena ambao ni wachanga katika biashara, binafsi sipendezwi na jinsi mtu anavyokamuliwa hela ya kutosha hasa kama unaingiza vitu kutoka nje, sijapenda kabisa
1. Pale airport dar es salaam, mtu ukiwa na mzigo wa sh 38,000,000 kodi ya kutozwa ni zaid ya milion 10 hela ambayo nimekuwa nikitozwa mpaka kushangaa, hii inaumiza sana , maana ukamuaji huu umepitiliza sasa,
Nina evidence za kutosha, jana mzigo umekuwa cleared airport, thaman yake ni sh 62,500,000 lakin nashangaa nimetozwa hela 43% kama malipo ya hapa na pale, TBS 15% TRA 18% Sijui cargo clearance fee asilimia kadhaa, sijui argent fee, jumla nimelipa ths 26,300,000 sasa hapo tunaumizana sasa vitaftwe vyanzo vingine tofauti na kubana sisi ambao ndo tunaansa alafu mnatukamua, pia sitaki kutaja mazingira mengine yalotokea pale ya kitu kidogo maana nikiwataja watashindwa kunipitishia mzigo Wangu tena na saa nyingine kubambikiwa kesi ya madawa au nyara za serikali
Kwa trend hii naona mheshiniwa BADO ANA KAZI KUBWA YA KUFANYA KUVUMBUA VYANZO VINGINE VYA KODI, japo nasisi inabidi kulipa kodi stahiki,
Nyi ndo target ya revenueSijawahi kuishi kama malaika hivyo sina hakika kama nadhaniwa kuwekwa kundi ka shetan
Kweli aisee mwaka wa 47 saba huu toka tupate uhuru nia njema tumezishuhudia.Mi sifichi siwez kupigia kura mtu asiye na nia njema katika uongizi wake, nakomea hapa
Licha ya ya hiyo ukiweka invoice wanaikataa wana angalia na kukadiria bei ya bidhaa wanatia calculations zao. Siyo haki kabisa yaan siyo haki , mzigo unaununua TSH 45,000,000 Usafiri 8,000,000 then hapa wakutoze million 21 kodi wakati calculation zako mzigo uuze 62,000,000 hii si fairof+course nafahamu ya kwamba endapo ndg Kelvin angepunguziwa ushuru ingemrahishia kufanya biashara yake mara 10 zaidi huku / nikimaanisha bidhaa zake angeziuza kwa unafuu na pia angelipata wateja mara 10 zaidi.
Kodi nayo hujaanza kufanya biashara wanakuambia ulipe kodi ya robo mwaka kwa makadirio waliyonayo kwa mtaji ulosema this is not fair tuna mengi ya kurekebisha sana sanaSio hapo tu Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo ukitoka Ku register kampuni.....
Uwezi kwenda moja kwa moja na certificate yako bank na kufungua account ya kampuni....
Mpaka upite TRA eti wakukadilie kodi na ulipe sasa unajiuliza kodi inatakiwa ilipwe kwenye faida .
Sasa hiyo faida ya kampuni iko wapi wakati kampuni yenyewe haijafungua hata account?....
Tukiwaambia mazingira ya kufanya biashara Tanzania ni magumu bora ukaaka ulaya ukabeba box mnabisha....
Kuna kautafiti kalifanywa tukaambiwa tunatumia 1% kufikiri, sasa sijui tufanyiwe maombi au ni kujiendekeza tu manake hata ukimkuta msomi tena mwenye masters akidadavua kitu kuna saa unajiuliza mara mbilimbili huyu ni msomi kweliii au ndio majangaa.Inakatisha tamaa
Mengi sana ya kurekebisha. Na tuendako tutabanwa zaidi. Kama umesikia zoezi la ku renew taarifa zako za TIN, basi itakuwa kama hujalipa kodi hata kwenda nje ya nchi itakua shidaKodi nayo hujaanza kufanya biashara wanakuambia ulipe kodi ya robo mwaka kwa makadirio waliyonayo kwa mtaji ulosema this is not fair tuna mengi ya kurekebisha sana sana
Elezea kidogo mkuu umecomment katika level za kina shivji na lipumba , wengine hatujaelewaKuna kautafiti kalidanywa tukaambiwa tunatumia 1% kufikiri, sasa sijui tufanyiwe maombi au ni kujiendekeza tu manake hata ukimkuta msomi tena mwenye masters akidadavua kitu kuna saa unajiuliza mara mbilimbili huyu ni msomi kweliii au ndio majangaa.
NInajionea majanga tu wanauma na kupuliza zile taaluma zao wameziweka pembeni umebaki unafiki tu na kupenda pesa kuliko utu.Elezea kidogo mkuu umecomment katika level za kina shivji na lipumba , wengine hatujaelewa