Mkuu kumbe zamani wakaguzi wajibu wao ilikua kukagua na kukamata watuhumiwa,sio kuandaa ukaguzi na kutoa maoni kama mahesabu ya hicho alichokikagua kimeandaliwa kulingana na kanuni za kuandaa mahesabu zinazokubalika na wengi?
Basi nadhani kuna haja ya kurekebisha iliyokua Tansania audit standard sasa international audit standards ili majukumu ya mkaguzi iwe ni kukagua, kukamata na kushitaki mtuhumiwa.
Utoh alimkagua jairo kwa ukaguzi maalum baada ya jairo kukusanya pesa toka taasisi za wizara yake ili akawapooze wabunge, utoh akasema jairo hakufanya kosa, hapo tu nilimtoa maksi hadi leo, hata asemeje simuelewi.