mheshimiwa CAG wa tanzania walimu wanahoji kwanini hukagui mapato na matumizi ya makato ya walimu wanayokatwa kila mwezi.kweli waliumu wanaomba sana makato mengine kama NSSF yanaonekana wazi mambo makubwa wanayowekeza tanzania je cham cha walimu kinapeleka wapi michango wanayokata walimu kila mwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.