Ushamba mzigo
New Member
- Apr 29, 2018
- 3
- 2
Naamini hawa majaji wanalindwa na katiba kinachobaki ni utashi wa kila mmoja. Kama unakumbuka Tundu Lissu aliongelea matatizo yaliyokuwepo kwenye kuchagua majaji, kama mtu akipewa cheo hicho kwa style aliyosema TL usishangae akawa anarudisha fadhila kwa ku abuse offisi zao, lakini yule anaepata kwa kustahili anaweza akafanya kazi kama huyu CAG.Una hoja ya msingi. Lakini wasomi kuna wakati wakati wanatakiwa kuchagua kati ya kutunza taaluma zao au kuwa watumwa wa matumbo yao.
Tijiulize, ni yeye tu ndiye mwenye kinga? Vipi kuhusu jaji mkuu? Vipi kuhusu majaji?
Huenda anafunika kombe ili mwanaharamu apite au anarudisha fadhila. Huyu alitegemewa au tunamtegemea ajiweke mbali afanye kazi zake kimya kimya.Jaji mkuu naye tatizo ni nini?