Kwa hiyo kila liandikacho gazeti ndiyo ukweli, nothing but ukweli? Litakuja gazeti lingine litasema kuna ufisadi NSSF. Tuchukue "ukweli" upi?
Sasa tunaelekea kushikiwa akili na magezeti, tena magazeti ya aina yake. Labda tusikie Mwananchi na Nipashe wanasemaje kuhusu hili.