CAG afanye Ukaguzi. Hili Jengo la Ofisi ya CHADEMA halifanani na Sh. Bilioni 2


Sasa kwanini bandari isiondoke kwa style hii , vijana wanajadili very minor issues pumbav
 
Hivi umeingia mle ndani wewe kapuku ? usifanye mchezo na jengo lililowekwa mitambo ya kuzuia mabomu na risasi .

Kwa sasa ukitaka kumuua kiongozi wa Chadema akiwa ofisini kwake njia unayoshauriwa kutumia ni kumloga tu , risasi hazipenyi hapo .
Angalia huyu kichaa sasa kampain watakuwa wanapigia hapo ofsini,na kwann wawaue wamekosa nini,Wao na familia zao watahamia kwenye hiyo nyumba ya kuzuia mabomuu?
 
Hiyo bilioni mbili umeipata wapi wewe!.

Bikioni mbili ni fedha iliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi mpya Makao Makuu Tz Bara na Zanzibar.

Uwe unasoma vizuri usikurupuke.
 
Wanachadema hawalalamiki we demu wa manzese kwa mfuga mbwa unabwabwaja yanakuhusu?

Kwa ujinga wako unadhani ardhi ya zilipo hizo ofisi zina thamani kama ya kwenu kwa mfugambwa au kwa mtogole
 
Lote nimeliona,weka picha yote..

Leo mumeumbuka,Kuna Bilioni 2 hapo?
Why unapotosha, wapi Chadema imesema thamani ni billion 2? Unaweza quote hapa?

Hiyo ni valuation ya ofisi itakayokuwepo Dar na Zanzibar. Embu acheni kuleta taharuki za ajabu. Nyie mlisema ruzuku inaliwa haya Sasa jengo limepatikana mnaanza Tena kulia lia
 
Mbona ofisi ni nzuri fisadi wewe
 
Nipeni million 350 niwadalalir jengo kama hilo mikocheni chadema ni matapeli sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…