Vipi nyie mnaojitaga Majayantiiiii mshatoboa, maana Magori kuna kipindi anahojiwa na Azam kipindi cha michezo cha Asubuhi, alisema malengo yenu ya msimu huu ni kuingia fainali shirikisho. So kabla hujawapa angalizo Yanga,ungeanza na kiongozi wa club yaok,maana yy mwenyewe kajipa asilimia zote.