William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Ni wakati muafaka sasa Rais akavunja Cabinet, kulinda heshima ya Serikali yake na hasa ya chama. Ingawa ninasikia tetesi, lakini ninataka kuamini kwamba ni kweli kama ninavyosikia kwamba atavunja baraza by the end of this week au early next week,
-I mean enough is enough, sasa it is about the legacy na pia kukinusuru chama, ninasema tena ni muhimu sana Mheshimiwa Rais akavunja Baraza sasa.
Es!
-I mean enough is enough, sasa it is about the legacy na pia kukinusuru chama, ninasema tena ni muhimu sana Mheshimiwa Rais akavunja Baraza sasa.
Es!