Cabinet itatangazwa lini?

Cabinet itatangazwa lini?

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,462
Rais Bukhari alichukua miezi sita kutangaza Cabinet. Maoni yangu mimi ni kwamba Rais aitangaze Cabinet atakapokuwa tayari. There is no need to hurry.
 
Mbona Ombeni Sefue anasimamia show poa tu.
Litangazwe mwakani
 
Ataweza kusimamia wizara zote? acheni mbwembwe nyie
 
Watu bado wanafanyiwa vetting..magufuli aliapa hatoteua vimeo.
 
Mbona watu sasa wanaharaka? Kwa mujibu wa UKAWA la Kikwete halijavujwa anasubiri livunjwe!!
 
Rais Bukhari alichukua miezi sita kutangaza Cabinet. Maoni yangu mimi ni kwamba Rais aitangaze Cabinet atakapokuwa tayari. There is no need to hurry.

Hueleweki.Ooh anatangaza ln?oohh asiganye haraka ....confusion
 
Rais Bukhari alichukua miezi sita kutangaza Cabinet. Maoni yangu mimi ni kwamba Rais aitangaze Cabinet atakapokuwa tayari. There is no need to hurry.

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania anauwezo wa kutangaza ndani ya siku21 baada ya kuchagua waziri mkuu.
 
Asiweke mawaziri...hizo kazi zitafanywa na makatibu wakuu ambao watasimamiwa/ wata report mojakwamoja kwa rais na dotted kwa Chief of Staff
 
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania anauwezo wa kutangaza ndani ya siku21 baada ya kuchagua waziri mkuu.
Kwa hiyo wewe unasema katiba haimruhusu kuchukua zaidi siku 21. Okay,katika lazima ifuatwe. Haya mambo tunajadili bure. Labda cabinet iko tayari na itatangazwa kesho asubuhi. Mimi nadhani ingefaa aandike sasa listi ya mawaziri anaowataka halafu akae na listi miezi mitatu,aitangaze kama mawazo yake hayatabadilika. Yaani kama akili yake inakakawana na wale watu.
 
Rais Bukhari alichukua miezi sita kutangaza Cabinet. Maoni yangu mimi ni kwamba Rais aitangaze Cabinet atakapokuwa tayari. There is no need to hurry.

Tangu Rais Bukhari ameingia madarakani mpaka sasa ni miezi minane na aliishatangaza baraza lake zaidi ya miezi sita iliyopita, ni miezi sita gani aliyochukua kutangaza cabinet.

Vuta subira baraza la mawaziri lenye wizara 18 linatangazwa tarehe 9 Dec 2015.
 
I think, January 5 will be better..!! Ili awe amewafanyia vetting ya kutosha...!!

Sbb Magufuli Urais amepata kama zali vile la mentali, so ajipange mwezi na nusu kuchagua baraza dogo bora...!!
 
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania anauwezo wa kutangaza ndani ya siku21 baada ya kuchagua waziri mkuu.
Mmh... Hebu nitajie hiyo ibara ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyompa Rais kipindi cha siku 21 tokea amwapishe waziri mkuu awe ametangaza Baraza la Mawaziri.
Isije ikawa ibara hiyo umeiona kwenye ile Katiba pendekezwa ya wale jamaa zetu, iliyoandikwa na nyoka mwenye makengeza msaka pesa?!
 
Hakuna haja ya baraza la mawaziri, Magufuli ni one man army, anatosha kabisaaaa

Mbona hadi leo nchi inaongozwa na watu 4 tu, Magufuli, waziri mkuu, katibu mkuu kiongozi na mwanasheria mkuu na mambo yanakwenda mswano tu.
Nashauri aanze tu kimya kimya kutekeleza maoni ya watanzania kuwa wabunge wasiwe mawaziri, then tusonge mbele na makatibu wa wizara tu
 
Back
Top Bottom