Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Americans are too smart to get rid of them aisee. Inasemekana Kampuni ya Google kupitia operating system yake ya android ambayo ndio the widely used smartphone O.S kwa sasa wanakusanya fingerprints za watumiaji wa touchscreen worldwide na kuzituma nchini mwao kwa matumizi ya kiusalama.
Kwa sasa hawa jamaa wanayo database kubwa sana kwa ajili ya kutunza taarifa za alama za vidole walizokusanya duniani mpaka sasa kupitia touchscreen za smartphone na tablets.