byekera Bukoba mjini

byekera Bukoba mjini

The Only Kilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2010
Posts
352
Reaction score
87
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali
 
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali

Ndo umepost kwenye jukwaa la jokes
Hahahaaaaa napaswa kucheka bana
 
Nimeibiwa laptop aina ya hp hapa bukoba mjini byekera maeneo ya kasarani. Ina window 8.1 pro kwa aliyeiona au kuichukua nitext 0715 276 275 au 0765 276 275. Hasante kwa upendo na kujali
Kuna raptop nirimwona nayo Yusta kabyemela pale Ishumi stationers akitaka maandishi ya hp yabadilishwe kuwa yk.
Huenda ikawa ndo hiyo unayoitafuta. Hebu zungumuza na wahusika Ishumi stationers watakupa detairs zaidi. Wapigie 0763134687.
 
Kuna raptop nirimwona nayo Yusta kabyemela pale Ishumi stationers akitaka maandishi ya hp yabadilishwe kuwa yk.
Huenda ikawa ndo hiyo unayoitafuta. Hebu zungumuza na wahusika Ishumi stationers watakupa detairs zaidi. Wapigie 0763134687.
Mkuu nipe namba zinazopatikana
 
Back
Top Bottom