Jamani mimi nimeamua kujivua gamba rasmi na si mwanachama wa Chadema tena hapa Arusha, bado sijaamua niingie chama gani ila nipo nipo kwanza nikiangalia chama muafaka. Magoma nitafute nikukabidhi kadi.<br />
<br />
Nawatakia mafanikio mema katika mbio za sihasa.<br />
Pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaa.