Redio imaan ipo chap chap.
Redio imaan ipo chap chap.
Bweni la wasichana la shule ya
Morogoro secondary linaumgua
moto maeneo ya forest na
chanzo inasemekana ni hitilafu
ya umeme. Fire wamefika na
wanazima na asilimia 80 ya jengo imeungua na hata hivyo
moto bado unawaka pamoja
na fire kujitahidi. Bado
haijajulikana kama wanafunzi
wote wako salama.
source:Radio Imani
Hivi majengo ya shule huwa yana bima?