Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Kada wa ACT Wazalendo Selemani Bungala (Bwege) anaeleza kuwa Mpina alipojiunga ACT yalitokea makundi mawili kwa kuwa Dorothy ndiye aliyepaswa kuwa mgombea kuna watu wakasema Dorthy atolewa na kuna watu walisema abaki lakini mwisho wa siku wakamtoa.
"Walimtoa, yeye si alikuwa anakataa, walimwambia ajitoe. Kulikuwa na ubishani kuna wanaosema watu wasimtoe na kuna watu walisema ajitoe. Yeye mwenyewe Dorothy alikuwa kwenye upande asijitoe" - Bwege
"Na yeye inasemekana akasema kwa kuwa nishafanya gharama na nilijitayarisha kwa ajili ya kugombea gharama zangu mtanirudishia? Wakasema tutakurudishia. Haya hawajamtoa hapo?" - Bwege
"Walimtoa, yeye si alikuwa anakataa, walimwambia ajitoe. Kulikuwa na ubishani kuna wanaosema watu wasimtoe na kuna watu walisema ajitoe. Yeye mwenyewe Dorothy alikuwa kwenye upande asijitoe" - Bwege
"Na yeye inasemekana akasema kwa kuwa nishafanya gharama na nilijitayarisha kwa ajili ya kugombea gharama zangu mtanirudishia? Wakasema tutakurudishia. Haya hawajamtoa hapo?" - Bwege