Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA

Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA

Arnold Ringo

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,318
Reaction score
394
Aliyekuwa MGOMBEA Ubunge Jimbo la Bariadi kupitia CCM na kushika nafasi ya pili baada ya Mhe.John Cheyo wa UDP Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA na kukabidhiwa Kadi ya Chama na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA Bwana John Heche katika moja ya Mikutano ya hadhara ya Chama inayoendelea huko Wilayani Itilima Mkoani Simiyu
 
Aliyekuwa MGOMBEA Ubunge Jimbo la Bariadi kupitia CCM na kushika nafasi ya pili baada ya Mhe.John Cheyo wa UDP Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA na kukabidhiwa Kadi ya Chama na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA Bwana John Heche katika moja ya Mikutano ya hadhara ya Chama inayoendelea huko Wilayani Itilima Mkoani Shinyanga
Amechagua fungu jema bila shaka hatajutia uamuzi wake...
 
karibu kwenye ukomwozi kamanda ccm ni chama cha wahuni na washenzi wakubwa hawana jipya tena
 
Hhahahah,
aende tu kule CDM, maana kule wagombea wa ubunge wanateuliwa na yule
mzee kwa hisani ya mkwe wake wakati huku CCM anatafutwa mshindi ndio
anapewa nafasi ya kupeperusha bendera ya chama.
Pili huyo jamaa atakuwa anapenda sana disco, hivyo ameenda kutafuta free
pass ya kuingilia club billicanas na pia kutafuta marafiki wa kukaa nao
pale deFrance.
 
Ameamua kuungana na wamwagia watu tindikali, walisha watu sumu na wapora wake za watu
 
Nina Wasiwasi Na Hawa Wanaohamia Kutoka CCM KUJA CHADEMA Wakati Wa Kipindi Hiki Kuelekea UCHAGUZI MKUU, Hapa Ndipo Tunapokosea HAWA WATU WANATAKA KUGOMBEA TU NA SIO KUJENGA CHAMA.
 
Hivi heche ni nani? Au ndiyo yule katibu wa bawacha wilaya ya tarime.
 
Wanaohamia chadema ni kwa ajili ya kugombea ubunge na udiwani..wasaka tonge
 
Kipindi hii lazima dawa ya ukawa itawaingia nyie Lumumba
 
Siasa sasa hivi kama usajili wa Yanga na Simba.hahahaha
 
Back
Top Bottom