THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Yani kati ya watanzania wote zaidi ya milioni 40 wewe umeona mtu pekee ambaye hastahili kuwa chini ya Kikwete ni Lowassa tu?
Ni Lowassa yuleyule aliyedai mwakyembe kamuonea akatishiwa kuwekwa hadharani yote yaliyofichwa na tume kulinda heshima yake kama waziri mkuu akafyata mkia??
Ni bora kuongozwa na muoga kuliko kuliko jitu katili ambalo hujui limepanga nini.
Ni Lowassa yuleyule aliyedai mwakyembe kamuonea akatishiwa kuwekwa hadharani yote yaliyofichwa na tume kulinda heshima yake kama waziri mkuu akafyata mkia??
Ni bora kuongozwa na muoga kuliko kuliko jitu katili ambalo hujui limepanga nini.