Ha ha ha haaaaa!
Jamaa 1 alikuwa amekaa zake sebuleni anasoma gazet, ghafla akapigwa kwa frampen uson na mkewe!
JAMAA: VP tena darling kulikon?
MKE: kwenye surual yako wakat najiandaa kuifua nikakuta kikaratas kimeandikwa "JENNY", unaweza ukanieleza huyo JENNY ni nani kwako?
JAMAA: aaah! wik ilopita nlikuwa kweny mashndano ya farasi, na Jenny ndo jina alobandikwa faras wangu yan faras wangu aliitwa JENNY!
MKE: sorry darling!
Siku ilofuata jamaa akiwa amekaa kochin huku akisoma gazet, alishtukia tena frampen ya uso "kwaang!"
JAMAA: Uwiiiiiii! Jamani darling kulikon tena?
MKE: Farasi wako kapiga cm!
Jamaa 1 alikuwa amekaa zake sebuleni anasoma gazet, ghafla akapigwa kwa frampen uson na mkewe!
JAMAA: VP tena darling kulikon?
MKE: kwenye surual yako wakat najiandaa kuifua nikakuta kikaratas kimeandikwa "JENNY", unaweza ukanieleza huyo JENNY ni nani kwako?
JAMAA: aaah! wik ilopita nlikuwa kweny mashndano ya farasi, na Jenny ndo jina alobandikwa faras wangu yan faras wangu aliitwa JENNY!
MKE: sorry darling!
Siku ilofuata jamaa akiwa amekaa kochin huku akisoma gazet, alishtukia tena frampen ya uso "kwaang!"
JAMAA: Uwiiiiiii! Jamani darling kulikon tena?
MKE: Farasi wako kapiga cm!