Amwache tu ila matusi hayavumiliki amtafute huyo bwege na kumpa kipondo cha haja. Na amkabidhi huyo binti akae nae mazima.
Vijana siku hizi sijui mmekuwaje.
Si enzi zetu unamnunulia mtu supu au mishkaki huku una jambo la kumweleza.
Anapigwa huku anakula,konzi,ngumi ,teke.
Akisimama anakalishwa tena chini.
Mpk tunapata muafaka.
Akitoka pale kavimba midamu inavuja watu wanashangaa hawa si walikua wanaongea tu.
Kumbe mtu alikuwa anapewa adabu kimya kimya.