Buti la Chief Godlove analoringia na kutudanganya Temu ni shilling elfu 35 tu

Buti la Chief Godlove analoringia na kutudanganya Temu ni shilling elfu 35 tu

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
767
Reaction score
1,728
Hili buti ambalo Chief godlove leo ameposti akituringia na kutudanganya kwa jazba na nyodo baada ya kuchekwa kafulia mitandaoni eti ni dollar za kimarekani 3500 kumbe ni euro 12 tu ambayo ni elfu 35.


Wanoko na wambea wamezama Temu online shopping ya China na kuthibitisha.
Screenshot_20260113_203704_Temu.jpg


Wasiomjua chief godlove ni content creator na mhamasishaji anayetafuta sifa za kijinga mitandaoni akijifanya billionaire.

adriz de mbusii
 
Bongo pia zinauzwa pair elfu 95.
IMG_6007.jpeg

Pia chain na pete anazoturingishia eti kila moja ni usd elfu 15 wakati Temu ni euro 7 haifiki hata elfu 20.

Screenshot_20260113_205805_Temu.jpg
Screenshot_20260113_205218_Temu.jpg
 
Hili buti ambalo Chief godlove leo ameposti akituringia na kutudanganya kwa jazba na nyodo baada ya kuchekwa kafulia mitandaoni eti ni dollar za kimarekani 3500 kumbe ni euro 12 tu ambayo ni elfu 35.
View attachment 3529545

Wanoko na wambea wamezama Temu online shopping ya China na kuthibitisha.
View attachment 3529546

Wasiomjua chief godlove ni content creator na mhamasishaji anayetafuta sifa za kijinga mitandaoni akijifanya billionaire.

adriz de mbusii
Nasikia kahami kenya eti ni kweli?
 
Nasikia kahami kenya eti ni kweli?
Huyo Jamaa ni Janja Janja tu ,life lake ni Acting tu ,majumba anayoonyesha siyo yake! Mimi bado na imani kwamba Dogo ni projects za serikali kuwaaminisha vijana kwamba pesa ipo ,jamaa hajulikani muda gani anafanya kazi ,muda mwingi ni kijipost tu....Nazijua nyumba mbili alizokuwa anakaa zote siyo zake ila mitandaoni anajifanya ni zake.
 
Hili buti ambalo Chief godlove leo ameposti akituringia na kutudanganya kwa jazba na nyodo baada ya kuchekwa kafulia mitandaoni eti ni dollar za kimarekani 3500 kumbe ni euro 12 tu ambayo ni elfu 35.
View attachment 3529545

Wanoko na wambea wamezama Temu online shopping ya China na kuthibitisha.
View attachment 3529546

Wasiomjua chief godlove ni content creator na mhamasishaji anayetafuta sifa za kijinga mitandaoni akijifanya billionaire.

adriz de mbusii
we ni mwanaume ama mwanamke?
 
Huyo Jamaa ni Janja Janja tu ,life lake ni Acting tu ,majumba anayoonyesha siyo yake! Mimi bado na imani kwamba Dogo ni projects za serikali kuwaaminisha vijana kwamba pesa ipo ,jamaa hajulikani muda gani anafanya kazi ,muda mwingi ni kijipost tu....Nazijua nyumba mbili alizokuwa anakaa zote siyo zake ila mitandaoni anajifanya ni zake.

Kwahiyo kuna matajiri wanawapa watu magari yao, nyumba na fedha ili wajionyeshe tu? Hao matajiri wanapata nini in return?

Serikali inaamini watanganyika ni wajinga kiasi hicho kwamba wanaweza kuwa swayed kwa mtu kuonyesha lifestyle yake tu online? Influence ya huyu jamaa ni kubwa kiasi gani hadi serikali imtumie yeye kupumbaza wengine?
 
Kwahiyo kuna matajiri wanawapa watu magari yao, nyumba na fedha ili wajionyeshe tu? Hao matajiri wanapata nini in return?

Serikali inaamini watanganyika ni wajinga kiasi hicho kwamba wanaweza kuwa swayed kwa mtu kuonyesha lifestyle yake tu online? Influence ya huyu jamaa ni kubwa kiasi gani hadi serikali imtumie yeye kupumbaza wengine?

Mkuu sipo kwenye kitengo ila ukiwauliza watu wa vitengoni watakwambia mambo hayo anayofanya ChiefGodilavu ni sehemu za project ambazo huwa wanafanya.

Sasa kama Abdul ana magari yenye thamani zaidi ya bilioni 100 ndiyo ashindwe kununua vigari vya chifu ambavyo vingi price yake chini ya 100m? Hizo project hufanywa na machawa wa serikali wanaofaidika na mifumo ,usikute hata Balozi Waziri ana project ambazo kina Stivie Nyerere ndiyo wanaziratibu.....Mtu kama Balozi Waziri Rajabu kumpa Chifu gari 6 ambazo hazizidi 1B kuwaadaa watu hashindwi.
 
Huyo Jamaa ni Janja Janja tu ,life lake ni Acting tu ,majumba anayoonyesha siyo yake! Mimi bado na imani kwamba Dogo ni projects za serikali kuwaaminisha vijana kwamba pesa ipo ,jamaa hajulikani muda gani anafanya kazi ,muda mwingi ni kijipost tu....Nazijua nyumba mbili alizokuwa anakaa zote siyo zake ila mitandaoni anajifanya ni zake.
Hapa umepuyanga sanaaa
 
Mkuu sipo kwenye kitengo ila ukiwauliza watu wa vitengoni watakwambia mambo hayo anayofanya ChiefGodilavu ni sehemu za project ambazo huwa wanafanya.

Sasa kama Abdul ana magari yenye thamani zaidi ya bilioni 100 ndiyo ashindwe kununua vigari vya chifu ambavyo vingi price yake chini ya 100m? Hizo project hufanywa na machawa wa serikali wanaofaidika na mifumo ,usikute hata Balozi Waziri ana project ambazo kina Stivie Nyerere ndiyo wanaziratibu.....Mtu kama Balozi Waziri Rajabu kumpa Chifu gari 6 ambazo hazizidi 1B kuwaadaa watu hashindwi.

Mkuu, sitetei I'm just trying to be objective. Serikali au Abdul wanaweza kununua hayo magari ila hakuna tija unless hao watu ni wajinga viwango vya PHD.

Kwanini apewe huyu bwana wakati nobody knew him prior? Kwamba walikaa chini wakasema tupumbaze wananchi kwa mali za godlove? What's his outreach naamini watu wanaomfuatilia hawafiki hata 1M. Sasa kwanini yeye na hii mbinu?

Pia, serikali inadhani watanganyika ni wajinga kiasi hadi waamini watapumbazwa kwa mali za kuona online tu? In my opinion, this is far fetched. Sioni tija yake hata kidogo.
 
Hili buti ambalo Chief godlove leo ameposti akituringia na kutudanganya kwa jazba na nyodo baada ya kuchekwa kafulia mitandaoni eti ni dollar za kimarekani 3500 kumbe ni euro 12 tu ambayo ni elfu 35.
View attachment 3529545

Wanoko na wambea wamezama Temu online shopping ya China na kuthibitisha.
View attachment 3529546

Wasiomjua chief godlove ni content creator na mhamasishaji anayetafuta sifa za kijinga mitandaoni akijifanya billionaire.

adriz de mbusii
Sasa Wachina si watu wa kuftatua? Mwenzio kavaa OG wewe unaenda kutafuta midosho ya china kujifariji. Acha wivu. Sikiliza maneno yake anakupa ujumbe.
 
Back
Top Bottom