Basi km humjui ndio ujue haujui.. sina haja ya kuendelea na mtu ambae [hajui] motives behind ya kile kinafanyikaSimjui. Unaweza kufunguka kuokoa nguvu na muda maana bado sioni correlation ya story yako, Godlove na serikali kuwatumia.
Basi km humjui ndio ujue haujui.. sina haja ya kuendelea na mtu ambae [hajui] motives behind ya kile kinafanyika
Mmiliki wa lile ghorofa aliloliwekea dau Dkt. Shika (jina bandia) alikua ni yule jamaa aliewajengea watoto ghorofa za watoto wa mitaani huyo pia unamjua na pia huyo mdau wako content creator aliechagua niche ya kujifanya yeye tajiri sana kumbe apeche, aliwahi kumtembelea nyumbani kwake wakafanya interview akamuonyesha magari yake ya kifahari sana anayoyamiliki, clip hata humu zimo unamjua ? Ukiona haumjui acha mara moja kuni-quoteUmezunguka tu bila kutoa jibu lolote wala kuonyesha uhusiano wowote.
Naona Abdul/serikali ya Samuya imempelekea godlove magari yake Nairobi akawazubaishe wakenya awatoe kwenye reli😆
View attachment 3530589
Wewe mwenye hela unakubali vipi kununuliwa na TAPELI ili uje kumtetea humu JF na mitandaoni? Chifu ni mwizi/conman ,anatapeli watu sana..Huna hoja unaungaunga, acha imani potofu,tafta hela maskini ww.
Hii si hata wewe unaweza kufanya hapo kwa Trump.. halafu unajua mimi nikajua watu ambao mpo kwa Trump kichwani akili zimo sababu mna exposure ya kutosha kumbe duuh kazi ipo.. hayo makitu hata wewe hapo hapo ulipo unapobeba maboksi na kuwatawaza wazee ukitaka kufanya unafanya tu kwani shingapi? Gari zinakodishwa kibao plate number hizo hela yako tu unachongesha what else tena kwa serikali hii iliyo na mapumbu wazi ukawa umewapa endorsement wanaseasa hawa matapeli kwamba nataka niwapumbaze hawa mazezeta wanakupa vibari vya kipuuzi tuNaona Abdul/serikali ya Samuya imempelekea godlove magari yake Nairobi akawazubaishe wakenya awatoe kwenye reli😆
View attachment 3530589
Mmiliki wa lile ghorofa aliloliwekea dau Dkt. Shika (jina bandia) alikua ni yule jamaa aliewajengea watoto ghorofa za watoto wa mitaani huyo pia unamjua na pia huyo mdau wako content creator aliechagua niche ya kujifanya yeye tajiri sana kumbe apeche, aliwahi kumtembelea nyumbani kwake wakafanya interview akamuonyesha magari yake ya kifahari sana anayoyamiliki, clip hata humu zimo unamjua ? Ukiona haumjui acha mara moja kuni-quote
Sirikali ni matapeli ,chifu godilavu naye ni TAPELI ,kwahiyo MATAPELI kusapotiana siyo shida zao.
Hii si hata wewe unaweza kufanya hapo kwa Trump.. halafu unajua mimi nikajua watu ambao mpo kwa Trump kichwani akili zimo sababu mna exposure ya kutosha kumbe duuh kazi ipo.. hayo makitu hata wewe hapo hapo ulipo unapobeba maboksi na kuwatawaza wazee ukitaka kufanya unafanya tu kwani shingapi? Gari zinakodishwa kibao plate number hizo hela yako tu unachongesha what else tena kwa serikali hii iliyo na mapumbu wazi ukawa umewapa endorsement wanaseasa hawa matapeli kwamba nataka niwapumbaze hawa mazezeta wanakupa vibari vya kipuuzi tu
Wabongo mna kazi sana. Hujui kuna watu wana magari zaidi ya moja na hakuna hata moja lina jina lake? Mimi mmoja wao.Wewe mwenye hela unakubali vipi kununuliwa na TAPELI ili uje kumtetea humu JF na mitandaoni? Chifu ni mwizi/conman ,anatapeli watu sana..
Wadau wametoa challenge aweke hati ya nyumba yeyote anayomiliki au kadi ya gari yenye jina lake.
Gari yenye kadi yenye jina lake ni CROWN tu.
Mkuu kuna kosa ukisema nyumba zilikuwa za Lugumi?Mmiliki wa lile ghorofa aliloliwekea dau Dkt. Shika (jina bandia) alikua ni yule jamaa aliewajengea watoto ghorofa za watoto wa mitaani huyo pia unamjua na pia huyo mdau wako content creator aliechagua niche ya kujifanya yeye tajiri sana kumbe apeche, aliwahi kumtembelea nyumbani kwake wakafanya interview akamuonyesha magari yake ya kifahari sana anayoyamiliki, clip hata humu zimo unamjua ? Ukiona haumjui acha mara moja kuni-quote
Mkuu kuna kosa ukisema nyumba zilikuwa za Lugumi?
Wabongo mna kazi sana. Hujui kuna watu wana magari zaidi ya moja na hakuna hata moja lina jina lake? Mimi mmoja wao.
Hata nyumba hapa Dar nyumba kibao watu wanamiliki hazina hati.
NB: Simtetei naonesha possibilities tu
Serikali inapata nini in return Hilo ndo swali langu la msingi ambalo so far sipati jibu lenye mantiki.